< Proverbios 22 >

1 De más estima es la buena fama que las muchas riquezas; y la buena gracia, que la plata y que el oro.
Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
2 El rico y el pobre se encontraron: a todos ellos hizo Jehová.
Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
3 El avisado ve el mal, y escóndese: mas los simples pasan, y reciben el daño.
Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
4 El salario de la humildad y del temor de Jehová, son riquezas, y honra, y vida.
Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
5 Espinas y lazos hay en el camino del perverso: el que guarda su alma se alejará de ellos.
Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
6 Instruye al niño en su carrera: aun cuando fuere viejo no se apartará de ella.
Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
7 El rico se enseñoreará de los pobres; y el que toma emprestado es siervo del que empresta.
Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
8 El que sembrare iniquidad, iniquidad segará; y la vara de su ira se acabará.
Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
9 El ojo misericordioso será bendito; porque dio de su pan al menesteroso.
Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
10 Echa al burlador, y saldrá la contienda; y cesará el pleito, y la vergüenza.
Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
11 El que ama la limpieza de corazón, y la gracia de sus labios, su compañero será el rey.
Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
12 Los ojos de Jehová miran por la ciencia; y las cosas del prevaricador pervierte.
Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
13 Dice el perezoso: El león está fuera: en mitad de las calles seré muerto.
Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
14 Sima profunda es la boca de las mujeres extrañas: aquel contra el cual Jehová tuviere ira, caerá en ella.
Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
15 La insensatez está ligada en el corazón del muchacho: mas la vara de la corrección la hará alejar de él.
Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
16 El que oprime al pobre para aumentarse él, y el que da al rico, ciertamente será pobre.
Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
17 Inclina tu oído, y oye las palabras de los sabios, y pon tu corazón a mi sabiduría:
Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
18 Porque es cosa deleitable, si las guardares en tus entrañas; y que juntamente sean ordenadas en tus labios.
maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
19 Para que tu confianza esté en Jehová, te las he hecho saber hoy a ti también.
Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
20 ¿No te he escrito tres veces en consejos y ciencia;
Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
21 Para hacerte saber la certidumbre de las razones verdaderas; para que respondas razones de verdad a los que enviaren a ti?
kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
22 No robes al pobre, porque es pobre: ni quebrantes en la puerta al afligido:
Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
23 Porque Jehová juzgará la causa de ellos; y robará su alma a los que los robaren.
maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
24 No te entremetas con el iracundo: ni te acompañes con el hombre enojoso.
Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
25 Porque no aprendas sus veredas, y tomes lazo para tu alma.
au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
26 No estés entre los que tocan la mano: entre los que fian por deudas.
Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
27 Si no tuvieres para pagar: ¿por qué quitarán tu cama de debajo de ti?
Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
28 No traspases el término antiguo que hicieron tus padres.
Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
29 ¿Has visto hombre solícito en su obra? delante de los reyes estará: no estará delante de los de baja suerte.
Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.

< Proverbios 22 >