< Salmos 60 >

1 Oh ʼElohim, Tú nos rechasaste. Tú nos desechaste, rompiste nuestras defensas. Te airaste. Vuelve a nosotros.
Mungu, wewe umetutupa; umeuvunja ulinzi wetu; wewe umekuwa hasirani; utuwezeshe tena.
2 Hiciste temblar la tierra, la agrietaste. Repara sus grietas, porque se tambalea.
Wewe umeifanya nchi kutetemeka; umeipasua pasua; uiponye nyufa zake, maana zinatikisika.
3 Hiciste sufrir a tu pueblo cosas duras. Nos hiciste beber vino de aturdimiento.
Wewe umewafanya watu wako kuona mambo magumu; umetufanya tunywe mvinyo wenye kutufanya kupepesuka.
4 Pero a tus fieles diste un estandarte Para que sea desplegado por causa de la verdad. (Selah)
Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. (Selah)
5 Sálvanos con tu mano derecha, y respóndenos, Para que sean librados tus amados.
Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
6 ʼElohim respondió desde su Santuario: ¡Yo me alegraré! Repartiré a Siquem, Y mediré el valle de Sucot.
Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
7 Mío es Galaad y mío es Manasés, Efraín es el casco de mi cabeza, Judá, mi cetro,
Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
8 Moab, vasija para lavarme. Sobre Edom echaré mi sandalia, Y sobre Filistea lanzaré mi grito de victoria.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
9 ¿Quién me conducirá a la ciudad fortificada? ¿Quién me guiará a Edom?
Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
10 ¿No eres Tú, oh ʼElohim, Quien nos rechazaste Y no sales con nuestros ejércitos, oh ʼElohim?
Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
11 Socórrenos ante el adversario, Porque vana es la liberación del hombre.
Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
12 Con ʼElohim haremos proezas. Él pisoteará a nuestros adversarios.
Kwa msaada wa Mungu tutashinda; yeye atawakanyaga chini adui zetu.

< Salmos 60 >