< Salmos 48 >

1 ¡Grande es Yavé y digno de suprema alabanza! En la ciudad de nuestro ʼElohim, su Montaña Santa.
Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
2 Hermosa elevación, el gozo de toda la tierra Es la Montaña Sion en el lejano norte, la ciudad del gran Rey.
Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 En sus palacios ʼElohim se presentó como una Fortaleza.
Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 Porque ciertamente se aliaron los reyes, Avanzaron unidos.
Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 La miraron, fueron asombrados. Se aterrorizaron, huyeron alarmados.
Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 Allí se apoderó de ellos un temblor, Angustia como de parturienta.
Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7 Con el viento que sopla del oriente Quiebras las naves de Tarsis.
Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 Como lo oímos, lo vimos en la ciudad de Yavé de las huestes, La ciudad de nuestro ʼElohim. ʼElohim la afirmará para siempre. (Selah)
Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
9 Nos acordamos de tu misericordia, oh ʼElohim, en tu Templo.
Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10 Como tu Nombre, oh ʼElohim, Así es tu alabanza hasta los confines de la tierra. Tu mano derecha está llena de justicia.
Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11 ¡Alégrese la Montaña Sion! ¡Regocíjense las hijas de Judá A causa de tus juicios!
Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
12 Anden alrededor de Sion y rodéenla. Cuenten sus torres.
Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
13 Observen atentamente su muro exterior. Contemplen sus palacios Para que lo cuenten a la generación venidera.
mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
14 Porque este ʼElohim es nuestro ʼElohim, Eternamente y para siempre. ¡Él nos guiará hasta la muerte!
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.

< Salmos 48 >