< Salmos 48 >

1 ¡Grande es Yavé y digno de suprema alabanza! En la ciudad de nuestro ʼElohim, su Montaña Santa.
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
2 Hermosa elevación, el gozo de toda la tierra Es la Montaña Sion en el lejano norte, la ciudad del gran Rey.
Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
3 En sus palacios ʼElohim se presentó como una Fortaleza.
Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
4 Porque ciertamente se aliaron los reyes, Avanzaron unidos.
Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
5 La miraron, fueron asombrados. Se aterrorizaron, huyeron alarmados.
walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
6 Allí se apoderó de ellos un temblor, Angustia como de parturienta.
Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
7 Con el viento que sopla del oriente Quiebras las naves de Tarsis.
Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
8 Como lo oímos, lo vimos en la ciudad de Yavé de las huestes, La ciudad de nuestro ʼElohim. ʼElohim la afirmará para siempre. (Selah)
Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
9 Nos acordamos de tu misericordia, oh ʼElohim, en tu Templo.
Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
10 Como tu Nombre, oh ʼElohim, Así es tu alabanza hasta los confines de la tierra. Tu mano derecha está llena de justicia.
Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
11 ¡Alégrese la Montaña Sion! ¡Regocíjense las hijas de Judá A causa de tus juicios!
Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
12 Anden alrededor de Sion y rodéenla. Cuenten sus torres.
Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
13 Observen atentamente su muro exterior. Contemplen sus palacios Para que lo cuenten a la generación venidera.
yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
14 Porque este ʼElohim es nuestro ʼElohim, Eternamente y para siempre. ¡Él nos guiará hasta la muerte!
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.

< Salmos 48 >