< Salmos 46 >

1 ʼElohim es nuestro Refugio y Fortaleza, Un auxilio muy presente en la tribulación.
Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
2 Por tanto, no temeremos aunque la tierra sea removida, Y las montañas se traspasen al corazón del mar,
Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
3 Aunque bramen y espumen sus aguas, Y tiemblen las montañas a causa de su ímpetu. (Selah)
hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
4 Hay un río cuyas corrientes alegran la ciudad de ʼElohim, El Santuario, morada del ʼElyón.
Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5 ʼElohim está en medio de ella. No será conmovida. ʼElohim la ayudará al clarear la mañana.
Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6 Braman las naciones, Se tambalean los reinos. Él emite su voz. Se derrite la tierra.
Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
7 Yavé de las huestes está con nosotros. Nuestro Refugio es el ʼElohim de Jacob. (Selah)
Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
8 Vengan y miren las obras de Yavé, Quien causó asolamientos en la tierra,
Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9 Quien hace cesar las guerras hasta el fin de la tierra, Quien quiebra el arco, rompe la lanza Y quema los carruajes en el fuego.
Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10 Estén quietos y reconozcan que Yo soy ʼElohim. Seré exaltado entre las naciones. Seré enaltecido en la tierra.
Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
11 Yavé de las huestes está con nosotros. Nuestra Fortaleza es el ʼElohim de Jacob. (Selah)
Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah

< Salmos 46 >