< Salmos 150 >

1 ¡Aleluya! Alaben a ʼEL en su Santuario. Alábenlo en su esplendoroso firmamento.
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Alábenlo por sus poderosas obras. Alábenlo según su excelente grandeza.
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Alábenlo con el sonido de la trompeta. Alábenlo con arpa y lira.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Alábenlo con pandero y danza. Alábenlo con instrumentos de cuerda y flautas.
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Alábenlo con címbalos resonantes. Alábenlo con címbalos de júbilo.
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 ¡Todo lo que respira alabe a Yavé! ¡Aleluya!
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< Salmos 150 >