< Números 1 >

1 Yavé habló a Moisés en el Tabernáculo de Reunión cuando estaban en el desierto de Sinaí, el día primero del mes segundo, en el segundo año de su salida de la tierra de Egipto:
Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
2 Toma un censo de toda la congregación de los hijos de Israel según sus familias de acuerdo con sus casas paternas, según el número de nombres, todo varón, cabeza por cabeza,
'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
3 de 20 años arriba, todo el que pueda salir a la guerra en Israel. Tú y Aarón los contarán por sus escuadrones,
kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
4 y un varón de cada tribu, cada uno jefe de su casa paterna, estará con ustedes.
Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
5 Estos son los nombres de los varones que estarán con ustedes: De la tribu de Rubén: Elisur, hijo de Sedeur.
Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
6 De Simeón: Selumiel, hijo de Zurisadai.
kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7 De Judá: Naasón, hijo de Aminadab.
Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 De Isacar: Natanael, hijo de Suar.
Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9 De Zabulón: Eliab, hijo de Helón.
kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10 De los hijos de José: de Efraín, Elisama, hijo de Amiud, de Manasés: Gamaliel, hijo de Pedasur.
kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11 De Benjamín: Abidán, hijo de Gedeoni.
kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12 De Dan: Ahiezer, hijo de Amisadai.
Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13 De Aser: Pagiel, hijo de Ocrán.
kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14 De Gad: Eliasaf, hijo de Dehuel.
kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15 De Neftalí: Ahira, hijo de Enán.
na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16 Estos fueron los designados de entre la congregación, representantes de las tribus de sus antepasados y jefes de los millares de Israel.
Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
17 Moisés y Aarón tomaron a estos varones que fueron designados por nombre,
Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
18 y reunieron a toda la asamblea el día primero del mes segundo. Se registraron según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba.
na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
19 Como Yavé ordenó a Moisés, así los contaron en el desierto de Sinaí.
Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
20 En cuanto a los hijos de Rubén, primogénito de Israel, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
21 los contados de la tribu de Rubén fueron 46.500.
Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
22 De los hijos de Simeón, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
23 los contados de la tribu de Simeón fueron 59.300.
Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
24 De los hijos de Gad, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
25 los contados de la tribu de Gad fueron 45.650.
Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
26 De los hijos de Judá, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
27 los contados de la tribu de Judá fueron 74.600.
walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
28 De los hijos de Isacar, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
29 los contados de la tribu de Isacar fueron 54.400.
Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
30 De los hijos de Zabulón, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
31 los contados de la tribu de Zabulón fueron 57.400.
Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
32 De los hijos de José, por los hijos de Efraín, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
33 los contados de la tribu de Efraín fueron 40.500.
Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
34 De los hijos de Manasés, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
35 los contados de la tribu de Manasés fueron 32.200.
Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
36 De los hijos de Benjamín, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
37 los contados de la tribu de Benjamín fueron 35.400.
Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
38 De los hijos de Dan, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
39 los contados de la tribu de Dan fueron 62.700.
Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
40 De los hijos de Aser, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
41 los contados de la tribu de Aser fueron 41.500.
Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
42 Los hijos de Neftalí, según su genealogía, sus familias, sus casas paternas y conforme a la cuenta de sus nombres cabeza por cabeza, todos los varones de 20 años arriba, todos los aptos para la guerra,
Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
43 los contados de la tribu de Neftalí fueron 53.400.
Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
44 Tales fueron los contados que registraron Moisés y Aarón, juntamente con los 12 representantes de Israel, uno por cada casa paterna.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
45 Todos los contados de los hijos de Israel según sus casas paternas, de 20 años arriba, todos los que en Israel podían salir a la guerra,
Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
46 fueron 603.550.
Walihesabu wanaume 603, 550.
47 Pero los levitas, según la tribu de sus antepasados, no fueron contados con ellos,
Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
48 pues Yavé habló a Moisés:
Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
49 Solamente no contarás a la tribu de Leví, ni los censarás entre los hijos de Israel.
“usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
50 Sino encargarás a los levitas el Tabernáculo del Testimonio, todos sus utensilios y todo lo que le pertenece. Ellos cargarán el Tabernáculo y todos sus utensilios. Lo atenderán y acamparán alrededor del Tabernáculo.
Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
51 Cuando el Tabernáculo tenga que trasladarse, los levitas lo desmontarán, y cuando se detenga, los levitas lo armarán. El extraño que se acerque morirá.
Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
52 Los hijos de Israel acamparán cada uno en su campamento junto a su estandarte, conforme a sus ejércitos.
Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
53 Pero los levitas acamparán alrededor del Tabernáculo del Testimonio para que no venga la ira sobre la congregación de los hijos de Israel. Los levitas custodiarán el Tabernáculo del Testimonio.
Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
54 Y los hijos de Israel hicieron todo lo que Yavé ordenó a Moisés. Así hicieron.
Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.

< Números 1 >