< Job 29 >

1 Entonces Job respondió:
Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2 Ojalá volviera a ser como en meses pasados, como en los días cuando ʼElohim me vigilaba,
“Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita, zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
3 cuando su lámpara estaba sobre mi cabeza y a su luz yo caminaba en la oscuridad,
wakati taa yake iliniangazia kichwani changu, na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
4 aquellos días de mi vigor cuando la amistad íntima de ʼElohim velaba sobre mi vivienda,
Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
5 cuando ʼEL-Shadday aún estaba conmigo, y mis hijos alrededor de mí,
wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
6 cuando mis pasos eran lavados con mantequilla y la roca me derramaba ríos de aceite,
wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi, nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
7 cuando iba a la puerta de la ciudad y en la plaza preparaba mi asiento.
“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
8 Los jóvenes me veían y se escondían. Los ancianos se levantaban y permanecían en pie.
vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
9 Los magistrados detenían sus palabras y ponían la mano sobre sus bocas.
wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
10 La voz de los nobles enmudecía y su lengua se les pegaba al paladar.
wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
11 Los oídos que me escuchaban me llamaban bienaventurado, y los ojos que me miraban daban testimonio a mi favor.
Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
12 Porque yo libraba al pobre que clamaba y al huérfano que no tenía ayudador.
kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
13 La bendición del que iba a perecer caía sobre mí, y daba alegría al corazón de la viuda.
Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki, nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
14 Me vestía de rectitud y con ella me cubría. Mi justicia era como un manto y un turbante.
Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
15 Yo era ojos para el ciego y pies para el cojo.
Nilikuwa macho ya kipofu na miguu kwa kiwete.
16 Era padre de los menesterosos. Me informaba con diligencia de la causa que no entendía.
Nilikuwa baba kwa mhitaji; nilimtetea mgeni.
17 Rompía las quijadas del perverso y de sus dientes arrancaba la presa.
Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
18 Me decía: En mi nido moriré, y como la arena multiplicaré mis días.
“Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
19 Mi raíz se extendía hacia las aguas, y el rocío pernoctaba en mi ramaje.
Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
20 Mi honra se renovaba en mí, y mi arco se fortalecía en mi mano.
Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu, upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
21 Me escuchaban, esperaban y guardaban silencio ante mi consejo.
“Watu walinisikiliza kwa tumaini, wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
22 Después de mi palabra no replicaban. Mi razón destilaba sobre ellos.
Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
23 La esperaban como a la lluvia temprana, y abrían su boca como a la lluvia tardía.
Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
24 Si me reía con ellos, no lo creían, y no tenían en menos la luz de mi semblante.
Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
25 Yo les escogía el camino, y me sentaba entre ellos como su jefe. Yo vivía como un rey en medio de su tropa, como el que consuela a los que están de duelo.
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.

< Job 29 >