< Job 28 >
1 La plata tiene sus yacimientos, y el oro un lugar donde refinarlo.
Hakika kuna machimbo ya fedha, wanaposafisha dhahabu.
2 Se saca el hierro de la tierra, y se funde el cobre de la piedra.
Chuma uchimbwa; shaba uyeyushwa kutoka katika jiwe.
3 El hombre da fin a la oscuridad y examina la piedra oscura y opaca hasta el último rincón.
Mtu anaondoa giza na kutafuta, katika mpaka wa mbali, mawe hayaonekani na giza totoro.
4 Lejos de donde vive la gente, en lugares donde el pie no pasa, abren minas. Son suspendidos y balanceados lejos de los demás hombres.
Huchimba shimo mbali na makazi ya watu, mahali pasipopitwa na mtu. Huning'inia mbali na watu; uharakisha kwenda na kurudi.
5 La tierra de la cual sale el pan, y por debajo, es trastornada como por fuego;
Kwa nchi, kizalishwapo chakula, inapinduliwa kama kwa moto.
6 es lugar donde hay piedras de zafiro y polvo de oro.
Mawe yake yana johari, na vumbi lake lina dhahabu.
7 Es una senda que el ave de rapiña no conoce. Jamás la vio el ojo del halcón.
Hata ndege mwindaji hapajui, wala jicho la kipanga halijapaona.
8 Nunca fue pisoteada por fieras arrogantes, ni pasó por allí el león.
Ndege mwenye majivuna hajawai kuiona njia hiyo, wala simba mkali kupita pale.
9 El hombre alarga su mano sobre el pedernal y trastorna la raíz de las montañas.
Mtu huchimba mwamba mgumu; hupindua milima katika vyanzo vyake.
10 Abre canales en la roca, y sus ojos ven todo lo precioso.
Huweka njia katika miamba; macho yake pale kila kilicho cha thamani.
11 Detiene los ríos en su nacimiento y hace que salga a la luz lo escondido.
Hufunga vyanzo hata wasiondoke; kilichofichika pale hukifunua.
12 Pero ¿dónde se halla el entendimiento? ¿Dónde está el lugar de la sabiduría?
Hekima itakuwa wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
13 El hombre no conoce el valor de ella. No se halla en la tierra de los vivientes.
Mtu hafahamu thamani yake; wala haipatikani katika nchi ya walio hai.
14 El océano dice: No está en mí. El mar dice: No está conmigo.
Vilindi vya maji chini ya nchi husema, 'Haiko kwangu'; bahari husema, 'Haipo pamoja nami.'
15 No se puede obtener con oro fino, ni por su precio se pesa la plata.
Hainunuliwi kwa dhahabu; wala hailinganishwi na fedha.
16 No se puede evaluar con oro de Ofir, ni con ónice precioso o con zafiro.
Haiwezi kuthamanishwa na dhahabu ya Ofiri, kwa jiwe jeusi la thamani au johari.
17 El oro y los diamantes no se le igualan, ni se puede pagar con objetos de oro fino.
Dhahabu na fuwele hailingani nayo kwa thamani; wala haiwezi kubadilishwa kwa vito vya dhahabu safi.
18 El coral y el cristal de roca ni se mencionen, porque el valor de la sabiduría supera al de las perlas.
Hailinganishwi na marijani wala yaspi; hakika, thamani ya hekima inapita madini ya rubi.
19 El topacio de Etiopía no la iguala, ni podrá ser evaluada en oro puro.
Topazi ya Ethiopia hailinganishwi nayo; wala kuthamanishwa kwa dhahabu safi.
20 ¿De dónde viene la sabiduría? ¿Dónde está el lugar del entendimiento?
Je hekima inatoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?
21 Está encubierta a los ojos de todo viviente, y oculta a todas las aves del cielo.
Hekima imejificha mbali na macho ya viumbe wote na ndege wa angani.
22 El Abadón y la Muerte dicen: ¡Su fama escuchamos con nuestros oídos!
Mauti na uharibifu husema, 'Tumesikia tu tetesi kwa masikio yetu.'
23 ʼElohim entiende el camino de ella y conoce su lugar,
Mungu hufahamu njia ya kuipata; anapafahamu ilipo.
24 porque contempla los confines de la tierra y ve cuanto hay debajo del cielo
Kwani uona miisho yote ya dunia na huona chini ya mbingu zote.
25 cuando da su peso al viento y determina la medida de las aguas,
Hapo kale, alifanya nguvu za upepo na kuyagawanya maji kwa kipimo.
26 cuando dicta una ley para la lluvia, y un camino para truenos y relámpagos.
Aliiwekea mvua tamko na njia ya radi na munguromo.
27 Entonces Él la vio, la declaró, la estableció y también la escudriñó,
Kisha akaiona hekima na kuitangaza; aliianzisha, bila shaka, na kuipima.
28 y dice al hombre: Ciertamente el temor a ʼAdonay es la sabiduría, y el apartarse del mal, el entendimiento.
Aliwambia watu, 'Tazameni, kumcha Bwana - ni hekima; kuacha uovu ni ufahamu.”