< Salmos 141 >

1 Un salmo de David. Yahvé, te he invocado. ¡Vengan a mí rápidamente! Escucha mi voz cuando te llamo.
Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
2 Que mi oración sea puesta ante ti como un incienso; la elevación de mis manos como el sacrificio de la tarde.
Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
3 Pon un reloj, Yahvé, delante de mi boca. Guarda la puerta de mis labios.
Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
4 No inclines mi corazón a ninguna cosa mala, para practicar obras de maldad con los hombres que obran la iniquidad. No me dejes comer de sus manjares.
Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
5 Que el justo me golpee, es la bondad; que me reprenda, es como el aceite en la cabeza; no dejes que mi cabeza lo rechace; Sin embargo, mi oración es siempre contra las malas acciones.
Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
6 Sus jueces son arrojados a los lados de la roca. Escucharán mis palabras, porque están bien dichas.
Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
7 “Como cuando se ara y se rompe la tierra, nuestros huesos están dispersos en la boca del Seol”. (Sheol h7585)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
8 Porque mis ojos están puestos en ti, Yahvé, el Señor. Me refugio en ti. No dejes mi alma desamparada.
Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
9 Guárdame de la trampa que me han tendido, de las trampas de los obreros de la iniquidad.
Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
10 Quelos malvados caigan juntos en sus propias redes mientras yo paso.
Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.

< Salmos 141 >