< Salmos 114 >

1 Cuando Israel salió de Egipto, la casa de Jacob de un pueblo de lengua extranjera,
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2 Judá se convirtió en su santuario, Israel su dominio.
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
3 El mar lo vio y huyó. El Jordán fue expulsado.
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4 Las montañas saltaron como carneros, las pequeñas colinas como corderos.
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5 ¿Qué fue, mar, que huyó? Tú, Jordan, ¿te volviste?
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6 ¿Montañas, que saltan como carneros? ¿Colinas pequeñas, como corderos?
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
7 Tiembla, tierra, ante la presencia del Señor, en la presencia del Dios de Jacob,
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8 que convirtió la roca en un estanque de agua, el pedernal en un manantial de aguas.
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

< Salmos 114 >