< Salmos 110 >
1 Un salmo de David. Yahvé dice a mi Señor: “Siéntate a mi derecha, hasta que haga de tus enemigos el escabel de tus pies”.
Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
2 Yahvé enviará desde Sión la vara de tu fuerza. Gobierna entre tus enemigos.
Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
3 Tu pueblo se ofrece de buen grado en el día de tu poder, en formación santa. Del vientre de la mañana, tienes el rocío de tu juventud.
Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
4 Yahvé ha jurado y no cambiará de opinión: “Eres un sacerdote para siempre en el orden de Melquisedec”.
Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
5 El Señor está a tu derecha. Aplastará a los reyes en el día de su ira.
Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
6 Él juzgará entre las naciones. Amontonará cadáveres. Aplastará al gobernante de toda la tierra.
Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
7 Beberá del arroyo en el camino; por lo que levantará la cabeza.
Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.