< Números 30 >

1 Moisés habló a los jefes de las tribus de los hijos de Israel, diciendo: “Esto es lo que Yahvé ha ordenado.
Musa aliwambia viongizi wote wa makabila ya watu wa Israeli. “Hiki ndicho ambacho BWANA ameamuru.
2 Cuando un hombre haga un voto a Yahvé, o haga un juramento para atar su alma con un vínculo, no deberá faltar a su palabra. Hará conforme a todo lo que salga de su boca.
Mtu yeyote atakayefanya nadhiri kwa BWANA, au kuapa kwa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa ahadi, asivunje neno lake. Atafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake.
3 “Además, cuando una mujer hace un voto a Yahvé y se compromete con una promesa, estando en la casa de su padre, en su juventud,
Na kama binti anaishi katika nyumba ya baba yake kwa atafanya nadhiri kwa BWANA na kuifunga nafsi yake kwa kiapo,
4 y su padre oye su voto y su promesa con la que ha vinculado su alma, y su padre no le dice nada, entonces todos sus votos serán válidos, y toda promesa con la que haya vinculado su alma será válida.
na kama baba yake atasikia hiyo nadhirina ahadi ambayo ametumia kuifunga nafsi yake, naye asiseme kitu kumzuia, ndipo nadhiri zake zitakuwa na nguvu. Kila ahadi ambayo ameitumia kuifunga nafsi yake itabaki kuwa na nguvu.
5 Pero si su padre se lo prohíbe el día que se entere, ninguno de sus votos ni de sus promesas con los que haya ligado su alma subsistirán. El Señor la perdonará, porque su padre se lo ha prohibido.
Lakini kama baba yake atasikia nadhairi yake na ahadi zake, na kama hatasema chochote kwake, ndipo nadhiri zake zote na ahadi alizofanya zitakapokuwa na nguvu.
6 “Si tiene marido, mientras sus votos están sobre ella, o la imprudente expresión de sus labios con la que ha ligado su alma,
Hata hivyo, kama baba yake atasikia nadhri zake zote alizofanya na ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake, na kama atazitengua ndani ya siku hiyo, ndipo hizo nadhiri hazitakuwa na nguvu. BWANA atamsamehe kwa kuwa baba yake amemzuia.
7 y su marido lo oye, y no le dice nada el día que lo oye, entonces sus votos serán firmes, y sus promesas con las que ha ligado su alma serán firmes.
Kama ataolewa angali katika hivyo viapo, au kama atafanya ahadi za bila kufikiri ambazo atajifunga nazo, hivyo vifungo vitakuwa na nguvu.
8 Pero si su marido se lo prohíbe el día que lo oiga, entonces anulará su voto que está sobre ella y las palabras imprudentes de sus labios, con las que ha ligado su alma. El Señor la perdonará.
Lakini kama mume wake atamzuia siku hiyo hiyo ambayo atamskia akiapa, basi atabatailisha hicho kiapo alichokifanya, maneno yake ya midomo yaka ya bila kufikiri ambayo kwayo amefunga nafsi yake. BWANA atamfungua.
9 “Pero el voto de la viuda o de la divorciada, todo aquello con lo que haya ligado su alma quedará en su contra.
Lakini kwa mjane au kwa mwanamke aliyetalikiwa, kila kitu amabacho atakisema kufunga nafsi yake lazima kitabaki na nguvu kinyume na yeye.
10 “Si ella hizo un voto en casa de su marido o vinculó su alma con un juramento,
Na kama mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake au akijifunga mwenyewe kwa kufanaya kiapo,
11 y su marido lo oyó, y calló ante ella y no la desautorizó, entonces todos sus votos serán válidos, y toda prenda con la que vinculó su alma será válida.
na mume wake akakisikia hicho kiapo na hakusema chochote kwake na hakumpinga, basi viapo vyake vitasimama na vifungo alivyovifanaya vitabaki na nguvu.
12 Pero si su marido los anuló el día que los oyó, entonces todo lo que haya salido de sus labios en cuanto a sus votos, o en cuanto al vínculo de su alma, no subsistirá. Su marido los ha anulado. El Señor la perdonará.
Lakini kama mume wake atamzuilia katika siku hiyo ambayo atavisikia, basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake kuhusu viapo vyake au ahadi zake havitabaki kuwa na nguvu. Mume wake atkuwa amevibatilisha. BWANA atamfungua.
13 Todo voto, y todo juramento vinculante para afligir el alma, su marido puede establecerlo, o su marido puede anularlo.
Kila kiapo ambacho mwanamke anakifanya ambacho kinamfunga ili kujikana kianaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake.
14 Pero si su esposo no le dice nada de un día para otro, entonces él establece todos sus votos o todos sus juramentos que están sobre ella. Los ha establecido, porque no le dijo nada el día que los escuchó.
Lakini kama hatasema chochote kwake siku baada ya siku, basi atathibitisha nadhiri zake na ahadi zake zinazomfunga ambazo amefanya. Atakuwa amezithibitisha kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia.
15 Pero si los anula después de haberlos escuchado, entonces él cargará con su iniquidad.”
Na kama mume wake atajariibu kubatilisha kiapo cha mke wake baada ya kuzisikia kwa muda mrefu, basi ataajibika kwa dhambi zake.”
16 Estosson los estatutos que Yahvé ordenó a Moisés, entre un hombre y su esposa, entre un padre y su hija, estando en su juventud, en la casa de su padre.
Hizi ndizo amri ambazo Mungu alimwamuru Musa kuzitangaza - amri ambazo ziko kati ya mume na mke wake na kati ya baba na binti yake wakati akiwa katika ujana wake katika familia ya baba yake.

< Números 30 >