< Levítico 16 >

1 Yahvé habló a Moisés después de la muerte de los dos hijos de Aarón, cuando se acercaron ante Yahvé y murieron;
Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
2 y Yahvé dijo a Moisés: “Dile a Aarón, tu hermano, que no entre en ningún momento en el Lugar Santísimo, dentro del velo, delante del propiciatorio que está sobre el arca, para que no muera, porque me apareceré en la nube sobre el propiciatorio.
Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
3 “Aarón entrará en el santuario con un novillo para el sacrificio por el pecado y un carnero para el holocausto.
Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
4 Se pondrá la túnica de lino sagrada. Tendrá los pantalones de lino sobre su cuerpo, y se pondrá la faja de lino, y se vestirá con el turbante de lino. Son las vestimentas sagradas. Bañará su cuerpo con agua y se las pondrá.
Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
5 Tomará de la congregación de los hijos de Israel dos machos cabríos para el sacrificio por el pecado y un carnero para el holocausto.
Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
6 “Aarón ofrecerá el toro de la ofrenda por el pecado, que es para él, y hará expiación por él y por su casa.
Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
7 Tomará los dos machos cabríos y los pondrá delante de Yahvé, a la puerta de la Tienda del Encuentro.
Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
8 Aarón echará suertes sobre los dos machos cabríos: una suerte para Yahvé, y la otra suerte para el chivo expiatorio.
Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
9 Aarón presentará el macho cabrío sobre el que haya caído la suerte para Yahvé, y lo ofrecerá como ofrenda por el pecado.
Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
10 Pero el macho cabrío sobre el que cayó la suerte para el chivo expiatorio será presentado vivo ante Yahvé, para hacer expiación por él, para enviarlo como chivo expiatorio al desierto.
Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
11 “Aarón presentará el becerro del sacrificio por el pecado, que es para él, y hará la expiación por sí mismo y por su casa, y matará el becerro del sacrificio por el pecado que es para él.
Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
12 Tomará un incensario lleno de carbones encendidos del altar, delante de Yahvé, y dos puñados de incienso aromático machacado, y lo llevará al interior del velo.
Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
13 Pondrá el incienso sobre el fuego delante de Yahvé, para que la nube del incienso cubra el propiciatorio que está sobre el pacto, a fin de que no muera.
Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
14 Tomará parte de la sangre del becerro y la rociará con su dedo sobre el propiciatorio que está al oriente; y delante del propiciatorio rociará parte de la sangre con su dedo siete veces.
Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
15 “Entonces matará el macho cabrío de la ofrenda por el pecado que es para el pueblo, y llevará su sangre al interior del velo, y hará con su sangre lo mismo que hizo con la sangre del becerro, y la rociará sobre el propiciatorio y delante del propiciatorio.
Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
16 Hará la expiación por el Lugar Santo, a causa de la impureza de los hijos de Israel y de sus transgresiones, de todos sus pecados; y lo mismo hará por la Tienda de Reunión que habita con ellos en medio de su impureza.
Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
17 Nadie estará en la Tienda de reunión cuando entre a hacer expiación en el Lugar Santo, hasta que salga y haya hecho expiación por él y por su familia, y por toda la asamblea de Israel.
Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
18 “Saldrá al altar que está delante de Yahvé y hará expiación por él, y tomará parte de la sangre del toro y parte de la sangre del macho cabrío, y la pondrá alrededor de los cuernos del altar.
Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
19 Con su dedo rociará parte de la sangre sobre el altar siete veces, y lo purificará y lo santificará de la impureza de los hijos de Israel.
Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
20 “Cuando haya terminado de expiar el Lugar Santo, la Tienda de Reunión y el altar, presentará el macho cabrío vivo.
Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
21 Aarón pondrá sus dos manos sobre la cabeza del macho cabrío vivo y confesará sobre él todas las iniquidades de los hijos de Israel y todas sus transgresiones, todos sus pecados, y los pondrá sobre la cabeza del macho cabrío, y lo enviará al desierto de la mano de un hombre preparado.
Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
22 El macho cabrío llevará sobre sí todas sus iniquidades a una tierra solitaria, y soltará al macho cabrío en el desierto.
Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
23 “Aarón entrará en la Tienda del Encuentro y se quitará las vestiduras de lino que se puso al entrar en el Lugar Santo, y las dejará allí.
Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
24 Luego se bañará en agua en un lugar santo, se pondrá sus vestiduras y saldrá a ofrecer su holocausto y el holocausto del pueblo, y hará expiación por él y por el pueblo.
Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
25 La grasa de la ofrenda por el pecado la quemará sobre el altar.
Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
26 “El que suelte el macho cabrío como chivo expiatorio lavará su ropa y bañará su carne con agua, y después entrará en el campamento.
Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
27 El becerro para la ofrenda por el pecado y el macho cabrío para la ofrenda por el pecado, cuya sangre fue traída para hacer expiación en el Lugar Santo, serán llevados fuera del campamento; y quemarán sus pieles, su carne y su estiércol con fuego.
Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
28 El que los queme lavará su ropa y bañará su carne con agua, y después entrará en el campamento.
Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
29 “Será un estatuto para vosotros: en el séptimo mes, a los diez días del mes, afligiréis vuestras almas y no haréis ningún tipo de trabajo, ya sea nativo o extranjero que viva como forastero entre vosotros;
Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
30 porque en este día se hará expiación por vosotros, para limpiaros. Quedarás limpio de todos tus pecados ante el Señor.
Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
31 Es un día de descanso solemne para ustedes, y afligirán sus almas. Es un estatuto para siempre.
Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
32 El sacerdote ungido y consagrado para ser sacerdote en lugar de su padre, hará la expiación y se pondrá las vestiduras de lino, las vestiduras sagradas.
Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
33 Luego hará la expiación por el Santuario Sagrado; y hará la expiación por la Tienda de Reunión y por el altar; y hará la expiación por los sacerdotes y por todo el pueblo de la asamblea.
Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
34 “Esto será un estatuto eterno para ti, para hacer expiación por los hijos de Israel una vez al año por todos sus pecados”. Se hizo como Yahvé le ordenó a Moisés.
Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.

< Levítico 16 >