< Josué 3 >
1 Josué se levantó temprano por la mañana; partieron de Sitim y llegaron al Jordán, él y todos los hijos de Israel. Acamparon allí antes de cruzar.
Yoshua aliamka asubuhi na mapema, nao walisafiri kutoka Shitimu. Walifika Yordani, yeye na watu wote wa Israeli, na wakapiga kambi hapo kabla hawajavuka ng'ambo.
2 Después de tres días, los oficiales pasaron por el medio del campamento;
Baada ya siku tatu, maafisa walienda katika kambi, wakawaagiza watu,
3 y ordenaron al pueblo, diciendo: “Cuando veáis el arca de la alianza de Yahvé vuestro Dios, y a los sacerdotes levitas que la llevan, dejad vuestro lugar y seguidla.
“Mtakapoona sanduku la agano la Yahweh Mungu wenu, na makuhani kutoka miongoni mwa Walawi wamelibeba, ni lazima muondoke sehemu hii na kulifuata.
4 Pero habrá un espacio entre vosotros y ella de unos dos mil codos por medida — no os acerquéis a ella — para que sepáis el camino por el que debéis ir, porque nunca habéis pasado por aquí.”
Lazima kuwe na umbali wa dhiraa elfu moja kati yenu na sanduku. Msilisogelee karibu, ili muweze kuiona njia ya kupitia, kwakuwa hamjawahi kupita njia hii kabla.
5 Josué dijo al pueblo: “Santificaos, porque mañana Yahvé hará maravillas entre vosotros”.
Yoshua akawaambia watu, “Jitakaseni ninyi wenyewe keso, kwa kuwa Yahweh atafanya maajabu miongoni mwenu.”
6 Josué habló a los sacerdotes, diciendo: “Tomen el arca de la alianza y pasen delante del pueblo”. Tomaron el arca de la alianza y pasaron delante del pueblo.
Kisha Yoshua akawaambia makuhani, “Chukueni sanduku la agano, na kulipitisha mbele za watu.” Hivyo, wakalichukua sanduku la agano na wakaenda mbele za watu.
7 Yahvé dijo a Josué: “Hoy comenzaré a engrandecerte a los ojos de todo Israel, para que sepan que como estuve con Moisés, así estaré contigo.
Yahweh akamwambia Yoshua, “Siku hii nitakufanya kuwa mtu mkubwa katika macho ya Waisraeli wote. Watajua kuwa kama nilivyokuwa na Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe.
8 Ordenarás a los sacerdotes que llevan el arca de la alianza que digan: “Cuando lleguéis al borde de las aguas del Jordán, os detendréis en el Jordán.”
Utawaamuru makuhani ambao hulibeba sanduku la agano, 'Mtakapofika katika ukingo wa maji ya Yordani, ni lazima msimame katika Mto Yordani.'”
9 Josué dijo a los hijos de Israel: “Venid aquí y escuchad las palabras de Yahvé, vuestro Dios”.
Kisha Yoshu akawaambia watu wa Israeli, “Njooni hapa na msikilize maneno ya Yahweh Mungu wenu.
10 Josué dijo: “En esto sabréis que el Dios vivo está en medio de vosotros, y que sin falta expulsará de vuestra presencia al cananeo, al hitita, al heveo, al ferezeo, al gergeseo, al amorreo y al jebuseo.
Kwa hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yuko miongoni mwenu na kwamba atawaondosha mbele yenu Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagrigashi, Waamori na Wayebusi.
11 He aquí que el arca del pacto del Señor de toda la tierra pasa delante de vosotros al Jordán.
Tazama! Sanduku la agano la Bwana wa nchi yote litavuka mbele yenu katika Yordani.
12 Toma, pues, doce hombres de las tribus de Israel, un hombre por cada tribu.
Sasa chagueni wanaume kumi na wawili kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja katika kila kabila.
13 Cuando las plantas de los pies de los sacerdotes que llevan el arca de Yahvé, el Señor de toda la tierra, descansen en las aguas del Jordán, las aguas del Jordán se cortarán. Las aguas que descienden de lo alto se pararán en un montón”.
Wakati nyayo za miguu ya makuhani walichukualo sanduku la Yahweh, Bwana wa nchi yote, zitakapogusa maji ya Yordani, maji ya Yordani yatatindika, na hata maji yatiririkayo kutoka juu yatakoma kutiririka nayo yatasimama kama chuguu.
14 Cuando el pueblo salió de sus tiendas para pasar el Jordán, los sacerdotes que llevaban el arca de la alianza iban delante del pueblo,
Hivyo wakati watu walipotoka ili kuvuka Yordani, makuhani waliobeba sanduku la agano waende mbele ya watu.
15 y cuando los que llevaban el arca llegaron al Jordán, y los pies de los sacerdotes que llevaban el arca se sumergieron en la orilla del agua (porque el Jordán se desborda por todas sus orillas todo el tiempo de la cosecha),
Mara tu wale walichukuao sanduku wakiisha kufika Yordani, na miguu ya watu wale waliobeba sanduku itakapotiwa katika ukingo wa maji (maana sasa Yordani hujaa hadi katika kingo zake zote katika kipindi chote cha mavuno),
16 las aguas que descendían de arriba se detuvieron, y subieron en un montón a gran distancia, en Adam, la ciudad que está junto a Zaretán; y las que descendían hacia el mar del Arabá, el Mar Salado, fueron totalmente cortadas. Luego el pueblo pasó cerca de Jericó.
maji yote yaliyotiririka kutoka juu yalisimama katika chuguu kimoja. Maji yakakoma kutiririka kutoka katika umbali mrefu. Maji yaliacha kutiririka kutoka Adam, mji ulio karibu na Zarethani, hadi bahari ya Negevu, Bahari ya Chumvi. Na watu walivuka ng'ambo karibu na Yeriko.
17 Los sacerdotes que llevaban el arca de la alianza de Yahvé se mantuvieron firmes en tierra seca en medio del Jordán, y todo Israel cruzó en tierra seca, hasta que toda la nación pasó completamente el Jordán.
Makuhani waliolibeba sanduku la agano la Yahweh walisimama katika nchi kavu katikati ya Yordani mpaka watu wote wa Israeli walipokwisha kuvuka katika nchi kavu.