< Job 26 >
1 Entonces Job respondió,
Kisha Ayubu akajibu:
2 “¡Cómo has ayudado al que no tiene poder! ¡Cómo has salvado el brazo que no tiene fuerza!
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 ¿Cómo has aconsejado al que no tiene sabiduría, ¡y declararon abundantemente el conocimiento sólido!
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 ¿A quién le has dicho palabras? ¿De quién es el espíritu que ha salido de ti?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 “Los espíritus difuntos tiemblan, los que están debajo de las aguas y todos los que viven en ellas.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 Sheol está desnudo ante Dios, y Abaddon no tiene cobertura. (Sheol )
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
7 Extiende el norte sobre el espacio vacío, y cuelga la tierra en la nada.
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 Él ata las aguas en sus densas nubes, y la nube no está reventada bajo ellos.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 Encierra la cara de su trono, y extiende su nube sobre ella.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Ha descrito un límite en la superficie de las aguas, y a los confines de la luz y la oscuridad.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Las columnas del cielo tiemblan y se asombran de su reprimenda.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Él agita el mar con su poder, y por su entendimiento golpea a través de Rahab.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Por su Espíritu se adornan los cielos. Su mano ha atravesado la serpiente veloz.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 He aquí que éstos no son más que las afueras de sus caminos. ¡Qué pequeño es el susurro que oímos de él! Pero el trueno de su poder ¿quién puede entenderlo?”
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”