< Jeremías 47 >
1 Palabra de Yahvé que vino al profeta Jeremías sobre los filisteos, antes de que el faraón atacara Gaza.
Hili ni neno la Yahwe lililokuja kwa Yeremia nabi juu ya Wafilisiti. Neno hili lilimjia kabla Farao hajaishambulia Gaza.
2 Yahvé dice: “He aquí que las aguas suben del norte, y se convertirá en un arroyo desbordante, y desbordará la tierra y todo lo que hay en ella, la ciudad y los que la habitan. Los hombres llorarán, y todos los habitantes de la tierra se lamentarán.
“Yahwe asema hivi: Tazama, mafuriko ya maji yanainuka huko kaskazini. Yatakuwa kama mto uliofurika! Kisha yataigharikisha nchi na kila kitu ndani yake, miji yake na watu wakaao ndani yake! Kila mtu atapiga kelele ya kuomba msaada, na wakaaji wote wa nchi wataomboleza.
3 Al ruido del estampido de los cascos de sus fuertes, al correr de sus carros, al estruendo de sus ruedas, los padres no miran atrás por sus hijos porque sus manos son muy débiles,
Kwa sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi wao wenye nguvu, kwa mwungurumo wa vibandawazi vyao na kelele za magurudumu yao, wazazi hawatawasaidia watoto wao kwa sababu ya udhaifu wao.
4 por el día que viene para destruir a todos los filisteos, para cortar de Tiro y de Sidón todo ayudante que quede; porque Yahvé destruirá a los filisteos, el remanente de la isla de Caphtor.
Kwa maana siku inakuja itakayowaacha ukiwa Wafilisiti wote, kumwondoa kila mtu aliyesalia anayetaka kuwasaidia. Kwa maana Yahwe anawaangamiza Wafilisiti, waliosalia katika kisiwa cha Kaftori.
5 La calvicie ha llegado a Gaza; Ashkelon es llevado a la nada. Tú, remanente de su valle, ¿cuánto tiempo te vas a cortar?
Maombolezo yatakuja juu ya Gaza. Hata kwa Ashikeloni, watu waliosalia bondeni watakuwa kimya. Ni kwa muda gani mtajiondoa katika maombolezo?
6 “‘Espada de Yahvé, ¿cuánto tiempo pasará antes de que te calles? Vuelve a ponerte la vaina; Descansa y quédate quieto”.
Ole, upanga wa Yahwe! itachukua muda gani hata unyamaze? Rudini alani mwenu! Acha na unyamaze.
7 “Cómo puedes estar tranquilo, ya que Yahvé te ha dado una orden? Contra Ashkelon, y contra la orilla del mar, allí lo ha designado”.
Wawezaje kuwa kimya, maana Yahwe amekuagiza. Amekuamuru kumpiga Ashikeloni na dhidi ya nchi ya pwani ya bahari.