< Isaías 30 >

1 “¡Ay de los hijos rebeldes — dice el Señor — que toman consejo, pero no de mí; y que se alían, pero no con mi Espíritu, para añadir pecado al pecado;
Ole wa watoto waasi, ''Hili ni tamko la Yahwe. ''Wataweka mipango, lakini haitatoka kwangu; wataungana na mataifa mengine, lakini hawakuongozwa na Roho wangu, hivyo wanongeza dhambi baada ya dhambi.
2 que se proponen bajar a Egipto sin pedir mi consejo, para fortalecerse en la fuerza del Faraón, y para refugiarse en la sombra de Egipto!
Wanapanga kushuka chini Misri, lakini hawajaniomba niwaelekeze. Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao kuchukua kimbilio katika kivuli cha Misri.
3 Por eso la fuerza del Faraón será su vergüenza, y el refugio en la sombra de Egipto su confusión.
Hivyo basi ulinzi wa Farao utakuwa aibu yenu, na kimbilio lenu katika kivuli cha Misri, kitakuwa udhalilishaji wenu,
4 Porque sus príncipes están en Zoán, y sus embajadores han llegado a Hanes.
japo wakuu wako Sayuni, na wajumbe wao wamekuja Hanesi.
5 Todos ellos se avergonzarán a causa de un pueblo que no puede aprovecharles, que no es una ayuda ni un beneficio, sino una vergüenza, y también un oprobio.”
Watahaibika kwa sababu ya watu ambao hawawezi kuwasaidia, wala kuwa na faida, lakini ni aibu, na fedheha.
6 La carga de los animales del Sur. A través de la tierra de la angustia y del sufrimiento, de la leona y del león, de la víbora y de la serpiente voladora, llevan sus riquezas sobre los hombros de los burros jóvenes, y sus tesoros sobre las jorobas de los camellos, a un pueblo inútil.
Tamko kuhusu mnyama wa Negevi: kupitia kwenye mlango wa mateso na hatari, wa simba jike na simba dume, nyoka na nyoka wa moto aneyepaa, wamebeba utajiri wao kwenye mgongo wa punda, na hazina yao katika mabega ya ngamia, kwa watu ambao hawana msaada kwao.
7 Porque Egipto ayuda en vano y en vano; por eso la he llamado Rahab, la que se queda quieta.
Maana msaada Misri hauna maana; hivyo basi nimemwita Rahabu, aliyekaa bado.
8 Ahora ve, escríbelo delante de ellos en una tabla, e inscríbelo en un libro, para que quede para los tiempos venideros por siempre y para siempre.
Sasa nenda, andika hili mbele yao juu ya meza, na uyaandike katika kitabu, iliyaifadhiwe kwa mda mrefu kama ushuhuda.
9 Porque es un pueblo rebelde, hijos mentirosos, hijos que no quieren escuchar la ley de Yahvé;
Maana ni watu waasi, watoto waongo, watoto ambao hawaskilizi maelekezo ya Yahwe.
10 que dicen a los videntes: “¡No veas!” y a los profetas: “No nos profeticen cosas buenas. Dígannos cosas agradables. Profetizad engaños.
Wanawambia waonaji, ''msiangalie; na kwa manabii, ''msitabiri yaliyoyakweli kwetu; zungumza maneno ya kujipendeza kwetu, tabiri udanganyifu. Geukeni katika njia,
11 Quítate del camino. Apartaos del camino. Haced que el Santo de Israel deje de estar delante de nosotros”.
ondokeni kwenye njia; maana Mtakatifu wa Israeli amesitisha kuongea mbele ya uso wetu.
12 Por lo tanto, el Santo de Israel dice: “Por cuanto desprecias esta palabra y confías en la opresión y la perversidad, y te apoyas en ella,
Hivyo basi mtakatifu wa Israeli asema, ''Kwa sababu umekataa maneno haya na kujifunza ukandamizaji na udanganyifu,
13 por lo tanto, esta iniquidad será para ti como una brecha a punto de caer, que se hincha en un muro alto, cuya ruptura llega de repente en un instante.
hivyo dhambi hii itakuwa kwenu kama kitu kilichovunjika tayari kwa kuanguka, kama kitu katika ukuta mrefu ambao anguko lake linakaribia, papo kwa hapo.''
14 La romperá como se rompe una vasija de alfarero, partiéndola en pedazos sin escatimar, de modo que no se encontrará entre los pedazos rotos una pieza lo suficientemente buena para tomar fuego del hogar, o para sacar agua de la cisterna.”
Atavunja kama chombo cha mfinyanyanzi kivunjavyo, hivyo basi hakitabaki kitu, hivyo hakuna vipande vyovyote vya kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, kuchota maji kisimani.
15 Porque así ha dicho el Señor Yahvé, el Santo de Israel: “Te salvarás en el retorno y el descanso. Vuestra fuerza estará en la tranquilidad y en la confianza”. Vosotros os negasteis,
Maana Bwana Yahwe, Mtakatifu wa Israeli asema hivi, ''Kwa kurudi na kwa kupumzika mtaokolewa; katika utulivu na imani itakuwa ni nguvu zako, Lakini hamkuwa tayari.
16 pero dijisteis: “No, porque huiremos a caballo”; por tanto, huiréis; y “montaremos en los veloces”; por tanto, los que os persigan serán veloces.
Amesema, 'Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojingiza watakuwa wepesi.
17 Mil huirán ante la amenaza de uno. Ante la amenaza de cinco, huiréis hasta quedar como un faro en la cima de una montaña, y como un estandarte en una colina.
Watu eflu moja watakimbia kwa kumuhofia mtu mmoja; kwa vitisho vya watu watano mtakimbia mpaka mtakuwa kama nguzu ya bendera iliyoko juu ya mlima, au kama bendera kwenye kilima.''
18 Por eso Yahvé esperará, para que tenga piedad de ustedes; y por eso será exaltado, para que tenga piedad de ustedes, porque Yahvé es un Dios de justicia. Bienaventurados todos los que lo esperan.
Lakini Bwana anawasubiri ili awape neema yake, Hivyo basi yuko tayari kuwaonyesha huruma. Maana Yahwe na Mungu wa haki; Huwabarikiwe wale wanaomsubiri yeye.
19 Porque el pueblo habitará en Sión, en Jerusalén. No llorará más. Ciertamente, él se apiadará de ti a la voz de tu clamor. Cuando te escuche, te responderá.
Maana watu wataishi Sayuni, na Yerusalemu na hawatalia tena. Hakika atakuwa neema kwenu kwa sauti ya kilio chenu. Atakaposikia tu, atawajibu ninyi.
20 Aunque el Señor te dé el pan de la adversidad y el agua de la aflicción, tus maestros ya no estarán ocultos, sino que tus ojos verán a tus maestros;
Kupitia Yahwe tunapata mkate wa shida na maji ya mateso, hata sasa, mwalimu wako hatajifisha mwenyewe tena, lakini utamuona mwalimu wako kwa macho yako mwenyewe.
21 y cuando te gires a la derecha, y cuando te gires a la izquierda, tus oídos oirán una voz detrás de ti, que dirá: “Este es el camino. Camina por él”.
Masikio yako yatasikia maneno yanayosemwa nyuma, Hii ndio njia, pitia hii, ''utakapogeuka upande wa kulia au utakageuka upande wa kushoto.
22 Profanarás el revestimiento de tus imágenes grabadas de plata y el revestimiento de tus imágenes fundidas de oro. Las desecharás como cosa inmunda. Le dirás: “¡Vete!”
Mtakinajisi kifuniko chenu mlichokiweka juu ya pesa na dhahabu na kukitupa. Mtakitupa mbali kama hedhi kali, '''utawambia wao, ''Ondokeni hapa.''
23 Él dará la lluvia para tu semilla, con la que sembrarás la tierra; y el pan del crecimiento de la tierra será rico y abundante. En ese día, tu ganado se alimentará en grandes pastos.
Naye atatoa mvua kwanye mbegu zenu mtakapopanda kwenye aridhi, na mkate utakuwa kwa wingi kutoka kwenye aridhi na mazao yatazaa kwa wingi. Katika siku hizo ng'ombe zako zitachungwa katika eneo kubwa.
24 También los bueyes y los asnos jóvenes que cultivan la tierra comerán un alimento sabroso, que ha sido aventado con la pala y con el tenedor.
Ng'ombe na punda, wanaolima kwenye aridhi, watakula chakula cha majira kilicho tawnywa kwa koleo na uma.
25 Habrá arroyos y corrientes de agua en toda montaña elevada y en todo cerro alto en el día de la gran matanza, cuando caigan las torres.
Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
26 Además, la luz de la luna será como la luz del sol, y la luz del sol será siete veces más brillante, como la luz de siete días, el día en que Yahvé cure la fractura de su pueblo y sane la herida con que fue herido.
Mwanga wa mwenzi utakuwa kama mwanga wa jua, na mwanga wa jua utang'aa mara saba, kama mwanga wa siku saba. Yahwe atakapofunga kuvujwa kwa watu wake na kuyaponya majeraha waliyoyapata.
27 He aquí que el nombre de Yahvé viene de lejos, ardiendo con su cólera y en espeso humo creciente. Sus labios están llenos de indignación. Su lengua es como un fuego devorador.
jina la Yahwe limekuja kutoka sehemu ya mbali, Linawaka kwa hasira yake na katika moshi mnene. Midomo yake imejaa hasira, na lugha yake nia kama moto unaoangamiza.
28 Su aliento es como un torrente desbordante que llega hasta el cuello, para tamizar a las naciones con el cedazo de la destrucción. Un freno que lleva a la ruina estará en las fauces de los pueblos.
Punzi yake ni kama maji yaliyojaa yanayofika mpaka katikati ya shingo, kwa ajili kuchuja mataifa kwa kuhamasisha uharibifu. Pumzi yake ni mzabuni katika taya za watu wanowasababisha kutangatanga mbali.
29 Tendrás un canto, como en la noche en que se celebra una fiesta sagrada, y alegría de corazón, como cuando se va con una flauta a venir al monte de Yahvé, a la Roca de Israel.
Utakuwa na wimbo kama usiku pale sherehe takatifu itakapofanyika, na moyo wenye furaha, pindi mmoja atakopo kwenda na katika mlima wa Yahwe, katika mwamba wa Israeli.
30 Yahvé hará oír su voz gloriosa y mostrará el descenso de su brazo, con la indignación de su cólera y la llama de un fuego devorador, con ráfaga, tormenta y granizo.
Yahwe atafanya mapambo ya sauti yake inayosikika na atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo na dhouba ya hasira yake na moto uwakao, pamoja na upepo mkubwa, mvua kubwa, na mvua ya mawe.
31 Porque por la voz de Yahvé el asirio será desalentado. Lo golpeará con su vara.
Maana kwa sauti ya Yahwe, Asiria itanyamazishwa; atahiaribu kwa fimbo.
32 Cada golpe de la vara de castigo que Yahvé impondrá sobre él, será con el sonido de panderetas y arpas. Luchará con ellos en las batallas, blandiendo armas.
Na kila adhabu iliyochaguliwa amechagua fimbo ambayo Yahwe ataiweka juu yao na wakisidikizwa na mziki wa kigoma na kinubi kama wataanzisha vita na kupgana nao.
33 Porque su lugar de ardor está preparado desde hace tiempo. Sí, está preparado para el rey. Ha hecho su pira profunda y grande con fuego y mucha leña. El aliento de Yahvé, como una corriente de azufre, lo enciende.
Maana sehemu ya kuchoma iliandaliwa toka zamani. kweli, imeandaliwa kwa mfalme, na Mungu amelifanya kuwa na kina na upana. Rundo liko tayari kwa moto na kuni za kutosha. Punzi ya Yahwe, ni kama mkondo kiberiti, na utawsha moto.

< Isaías 30 >