< Oseas 13 >
1 Cuando Efraín habló, hubo temblores. Se exaltó en Israel, pero cuando se hizo culpable a través de Baal, murió.
Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
2 Ahora pecan más y más, y se han hecho imágenes fundidas de su plata, hasta los ídolos según su propio entendimiento, todos ellos obra de los artesanos. Dicen de ellos: “Ofrecen sacrificios humanos y besan a los terneros”.
Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
3 Por eso serán como la niebla de la mañana, como el rocío que pasa pronto, como la paja que es expulsada con el torbellino de la era, y como el humo de la chimenea.
Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
4 “Sin embargo, yo soy Yahvé, tu Dios, desde la tierra de Egipto; y no reconocerás a ningún dios más que a mí, y además de mí no hay ningún salvador.
Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
5 Te conocí en el desierto, en la tierra de la gran sequía.
Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
6 Según sus pastos, así se llenaron; se llenaron, y su corazón se exaltó. Por eso se han olvidado de mí.
Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
7 Por eso soy como un león para ellos. Como un leopardo, acecharé el camino.
Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
8 Me reuniré con ellos como una osa que se queda sin sus cachorros, y desgarrará la cubierta de su corazón. Allí los devoraré como una leona. El animal salvaje los desgarrará.
Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
9 Estás destruido, Israel, porque estás en contra de mí, contra su ayudante.
Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
10 ¿Dónde está ahora vuestro rey para salvaros en todas vuestras ciudades? ¿Y tus jueces, de los que dijiste: ‘Dame un rey y príncipes’?
Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
11 Te he dado un rey en mi ira, y me lo he llevado en mi ira.
Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
12 La culpa de Efraín está acumulada. Su pecado está almacenado.
Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
13 Los dolores de una mujer de parto caerán sobre él. Es un hijo imprudente, porque cuando es el momento, no viene a la apertura del vientre.
Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
14 Los rescataré del poder del Seol. ¡Los redimiré de la muerte! Muerte, ¿dónde están tus plagas? Sheol, ¿dónde está tu destrucción? “La compasión estará oculta a mis ojos. (Sheol )
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol )
15 Aunque sea fructífero entre sus hermanos, vendrá un viento del este, el aliento de Yahvé subiendo desde el desierto; y su manantial se secará, y su fuente se secará. Saqueará el almacén del tesoro.
Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
16 Samaria cargará con su culpa, porque se ha rebelado contra su Dios. Caerán por la espada. Sus hijos serán despedazados, y sus mujeres embarazadas serán desgarradas”.
Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.