< Ezequiel 46 >

1 “‘El Señor Yahvé dice: “La puerta del atrio interior que mira hacia el oriente estará cerrada los seis días hábiles; pero el día del sábado se abrirá, y el día de la luna nueva se abrirá.
Bwana Yahwe asema hivi: Lango la uzio wa ndani, linaloelekea mashariki, litafungwa kwa mda wa siku sita za kazi, lakini katika siku za Sabato litakuwa wazi, na katika siku ya mwezi mpya litafunguliwa.
2 El príncipe entrará por el camino del pórtico de la puerta de afuera, y se pondrá junto al poste de la puerta; los sacerdotes prepararán su holocausto y sus ofrendas de paz, y él adorará en el umbral de la puerta. Luego saldrá, pero la puerta no se cerrará hasta la noche.
Mwana wa mfalme ataingia kwa kutumia lango la njia ya nyuma ya varanda upande wa nje, na atasimama mbele ya muhimili wa mwimo wa lango la ndani wakati makuhani wakiwa wakitengeza sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani. Kisha ataabudu kwenye kizingiti cha lango la ndani na kutoka nje, lakini lango halitakuwa linafungwa hadi jioni.
3 El pueblo del país adorará a la puerta de esa puerta ante Yahvé los sábados y las lunas nuevas.
Watu wa nchi pia wataabudu mbele ya Yahwe kwenye hili lango la kuingilia katika siku ya Sabato na siku mpya za mwezi.
4 El holocausto que el príncipe ofrecerá a Yahvé será el día del sábado, seis corderos sin defecto y un carnero sin defecto;
Sadaka ya kuteketezwa ambayo mwana wa mfalme aitoayo kwa Yahwe katika siku ya Sabato itakuwa wanakondoo sita wasiokuwa na dosari na kondoo dume asiyekuwa na dosari.
5 y la ofrenda de comida será un efa por el carnero, y la ofrenda de comida por los corderos que pueda dar, y un hin de aceite por un efa.
Sadaka ya unga pamoja na kondoo dume itakuwa efa moja, na sadaka ya unga pamoja na wanakondoo kiasi awezacho kutoa, na hini moja ya mafuta pamoja na kila efa ya unga.
6 El día de la luna nueva será un novillo sin defecto, seis corderos y un carnero. Serán sin defecto.
Katika siku ya mwezi mpya atatoa ng'ombe mchanga asiyekuwa na dosari kutoka kuchungwa, wanakondoo sita, na kondoo asyekuwa na dosari.
7 Preparará una ofrenda: un efa por el toro, un efa por el carnero y por los corderos, según sus posibilidades, y un hin de aceite por efa.
Atatengeneza sadaka ya unga ya efa moja kwa ajili ya ng'ombe na efa moja kwa ajili ya kondoo, na kwa kiasi awezacho kukitoa kwa ajili ya wanakondoo, na hini ya mafuta kwa kila efa ya unga.
8 Cuando el príncipe entre, lo hará por el camino del pórtico de la puerta, y saldrá por su camino.
Wakati mwana wa mfalme atakapokuwa anaingia kwa njia ya lango lenye varanda, ataondoka kwa njia hiyo hiyo.
9 “‘“Pero cuando el pueblo de la tierra se presente ante Yahvé en las fiestas señaladas, el que entre por el camino de la puerta del norte para adorar saldrá por el camino de la puerta del sur; y el que entre por el camino de la puerta del sur saldrá por el camino de la puerta del norte. No regresará por el camino de la puerta por la que entró, sino que saldrá directamente delante de él.
Lakini wakati watu wa nchi watakakuja kwa Yahwe katika sikukuu zilizoteuliwa, kila mmoja kuingia kupitia kwenye lango la kaskazini kuabudu ataondoka kupitia lango la kusini; na kila atakayeingillia kupitia lango la kusini atatoka kupitia lango la kaskazini. Hakuna atakayerudia kwa lile lango aliloingilia, kwa kuwa atatoka nje moja kwa moja.
10 El príncipe entrará con ellos cuando entren. Cuando salgan, él saldrá.
Mwana wa mfalme atakuwa kati yao; watakapoingia, ataingia ndani, na watakapoondoka, atatoka nao.
11 “‘“En las fiestas y en las festividades señaladas, la ofrenda de comida será un efa por un toro, y un efa por un carnero, y por los corderos que pueda dar, y un hin de aceite por un efa.
Kwenye sikukuu hizo, sadaka ya unga itakuwa efa moja ya unga kwa ng'ombe mmoja na efa moja kwa kondoo dume, na chochote atakacho kitoa pamoja na wanakondoo, na hini moja ya mafuta kwa kila efa.
12 Cuando el príncipe prepare una ofrenda voluntaria, un holocausto o una ofrenda de paz como ofrenda voluntaria a Yahvé, se le abrirá la puerta que mira hacia el oriente, y preparará su holocausto y sus ofrendas de paz, como se hace en el día de reposo. Luego saldrá, y después de su salida se cerrará la puerta.
Wakati mwana wa mfalme atakapotoa sadaka atakayojisikia kutoa, labda sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani kwa Yahwe, lango la kuelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka ya amani kama afanyavyo siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, na baada ya kutoka lango litafungwa.
13 “‘“Prepararás cada día un cordero de un año sin defecto para un holocausto a Yahvé. Por la mañana lo prepararás.
Kwa kuongeza, utatoa mwanakondoo asiyekuwa na dosari mwenye umri wa mwaka mmoja kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe kila siku; utafanya hivi kila asubuhi.
14 Con él prepararás por la mañana una ofrenda, la sexta parte de un efa, y la tercera parte de un hin de aceite para humedecer la harina fina; una ofrenda a Yahvé continuamente por ordenanza perpetua.
Utatoa sadaka ya unga pamoja nayo kila asubuhi, efa sita na sehemu ya tatu ya hini ya mafuta kuchanganya na sadaka ya unga kwa ajili ya Yahwe, kulingana na sheria ilivyo.
15 Así prepararán el cordero, la ofrenda y el aceite, de mañana, para un holocausto continuo.”
Watandaa mwanakondoo, sadaka ya kuteketezwa, na mafuta kila asubuhi, sadaka ya kuteketezwa ya kudumu.
16 “‘El Señor Yahvé dice: “Si el príncipe da un regalo a alguno de sus hijos, es su herencia. Pertenecerá a sus hijos. Es su posesión por herencia.
Bwana Yahwe asema hivi: Kama mwana wa mfalme akitoa zawadi kwa mmoja wa watoto wake, imekuwa urithi wake. Itakuwa mali ya mtoto wake, imekuwa urithi.
17 Pero si da de su herencia un regalo a uno de sus siervos, será suyo hasta el año de la libertad; entonces volverá al príncipe; pero en cuanto a su herencia, será para sus hijos.
Lakini kama akimpatia zawadi kutoka urithi wake kwa mmoja wa watumishi wake, kisha itakuwa ya huyo mtumishi mpaka mwaka wa uhuru, na kisha itarudi kwa mwana wa mfalme. Urithi wake yamkini ukawa kwa ajili ya watoto wake.
18 Además, el príncipe no tomará la herencia del pueblo para expulsarlo de su posesión. Dará herencia a sus hijos de su propia posesión, para que mi pueblo no sea dispersado cada uno de su posesión”’”.
Mwana wa mfalme hatawaondolea urithi wa watu kutoka kwenye mali zao wenyewe; ataandaa kwa ajili ya watoto wake mali ili kwamba watu wangu wasitawanyike, kila mtu kutoka mali kwenye yake mwenyewe.”
19 Luego me hizo pasar por la entrada, que estaba al lado de la puerta, a las habitaciones sagradas para los sacerdotes, que miraban hacia el norte. He aquí que había un lugar en la parte posterior hacia el oeste.
Kisha yule mtu akaniletea kwenye lango la kutokea hata kwenye vyumba vitakatifu kwa ajili ya makuhani, vilivyokuwa vimeelekea kaskazini na tazama! Kulikuwa na sehemu mbele magharibi.
20 Me dijo: “Este es el lugar donde los sacerdotes cocerán la ofrenda por la culpa y la ofrenda por el pecado, y donde cocerán la ofrenda del pan, para que no las saquen al atrio exterior, para santificar al pueblo.”
Akanambia, “Hii ndio sehemu ambayo makuhani watakapo chemshia sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na walipookea sadaka ya unga. Wasilete sadaka nje ya uzio, kwa kuwa watu watatakaswa.”
21 Entonces me sacó al atrio exterior y me hizo pasar por las cuatro esquinas del atrio; y he aquí que en cada esquina del atrio había un patio.
Kisha akanileta kwenye uzio wa nje akaniongoza kuzunguka pembe nne za uzio, nikaona kwamba katika kila pembe ya uzio kulikuwa na uwanja.
22 En las cuatro esquinas del atrio había patios cerrados, de cuarenta codos de largo y treinta de ancho. Estos cuatro en las esquinas eran del mismo tamaño.
Katika hizo pembe nne za nje ya uzio kulikuwa na nzio nne ndogo, dhiraa arobaini urefu na thelathini upana. Ukubwa ule ule kwa nzio zote nne.
23 Había un muro alrededor de los cuatro, y se hacían hervideros debajo de los muros en todo el perímetro.
Kulikuwa na safu zilizokuwa zimetengenezwa kwa mawe kuzizunguka zote nne, na meko ya kupikia ilikuwa chini ya safu ya jiwe.
24 Entonces me dijo: “Estos son los hervideros, donde los ministros de la casa cocerán el sacrificio del pueblo.”
Yule mtu akanambia, “Hizi ndizo sehemu ambazo watumishi watachemshia dhabihu za watu.”

< Ezequiel 46 >