< Ester 9 >

1 En el mes duodécimo, que es el mes de Adar, a los trece días del mes, cuando el mandamiento del rey y su decreto estaban a punto de ser ejecutados, el día en que los enemigos de los judíos esperaban conquistarlos, (pero resultó lo contrario, que los judíos conquistaron a los que los odiaban),
Sasa katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya kumi na tatu ambayo ni siku ya Adari, siku ambayo adui wa Wayahudi walitarajia kutekeleza sheria ya mfalme na kupata nguvu dhidi ya Wayahudi. Badala yake Wayahudi wakapata nguvu dhidi ya adui zao.
2 los judíos se reunieron en sus ciudades por todas las provincias del rey Asuero, para echar mano a los que querían hacerles daño. Nadie pudo resistirlos, porque el temor a ellos había caído sobre todo el pueblo.
Wayahudi wote wakakusanyika katika miji yao katika majimbo yote ya Mfalme Ahusiero, kutia mikono juu ya wale waliokusudia ubaya. Hakuna aliye kuwa tayari kusimama zao kwa sababu hofu yao ilikuwa imewaangukia watu wote.
3 Todos los príncipes de las provincias, los gobernadores locales, los intendentes y los que se ocupaban de los asuntos del rey ayudaban a los judíos, porque el temor a Mardoqueo había caído sobre ellos.
Wakuu wote wa majimbo, maakida na magavana, na watawala wa mfalme, waliwasaidia Wayahudi kwa kuwa hofu ya Modekai ilikuwa imewaangukia.
4 Porque Mardoqueo era grande en la casa del rey, y su fama se extendía por todas las provincias, pues el hombre Mardoqueo se hacía cada vez más grande.
Kwa kuwa Modekai alikuwa mkuu katika nyumba ya mfalme, na umaarufu wake ukasambaa katika majimbo yote, kwa kuwa Modekai alikuwa akifanyika mkuu.
5 Los judíos golpeaban a todos sus enemigos a golpe de espada, con matanza y destrucción, y hacían lo que querían con los que los odiaban.
Wayahudi wakawavamia maadi zao kwa upanga, wakiwatenda vibaya kama walivyokuwa wamekusudiwa mabaya dhidi yao Wakawatenda kama walivyo ona vyema machoni pao.
6 En la ciudadela de Susa, los judíos mataron y destruyeron a quinientos hombres.
Katika ngome ya mji wa Shushani pekee jumla ya maadui waliouawa na na kuharibiwa na Wayahudi ni wanaume mia tano.
7 Mataron a Parshandatha, Dalphon, Aspatha,
Miongoni mwa waliouawa ni pamoja na Parishandatha, Dalphoni, Aspatha,
8 Poratha, Adalia, Aridatha,
Poratha, Adalia, Aridatha,
9 Parmashta, Arisai, Aridai, y Vaizatha,
Parimashita, Arisai, Aridai, Vaizatha,
10 los diez hijos de Haman hijo de Hammedatha, el enemigo de los judíos, pero no pusieron su mano en el botín.
na wana kumi wa Hamani, mwana wa Hammedatha, adui wa Wayahudi. Lakini hawakuchua mateka yoyote.
11 Aquel día se presentó ante el rey el número de los muertos en la ciudadela de Susa.
Idadi ya wale waliouawa siku hiyo katika mji wa Shushani, ilifikishwa kwa Mfalme Ahusiero.
12 El rey dijo a la reina Ester: “Los judíos han matado y destruido a quinientos hombres en la ciudadela de Susa, incluidos los diez hijos de Amán; ¡qué han hecho entonces en el resto de las provincias del rey! ¿Cuál es tu petición? Se te concederá. ¿Cuál es tu otra petición? Se hará”.
Mfalme akamwambia malkia Esta. Mfalme akamwambia Malkia Esta, “Wayahudi wameua wanaume mia tano katika mji wa Shushani, wakiwemo wana kumi wa Hamani adui wa Wayahudi. Je wamefanya nini katika majimbo mengine? Na sasa haja yako ni nini? Utapewa. Ombi lako ni nini?”
13 Entonces Ester dijo: “Si al rey le parece bien, que se conceda a los judíos que están en Susa que hagan también mañana lo que se ha decretado hoy, y que los diez hijos de Amán sean colgados en la horca.”
Esta akamjibu, “Mfalme kama ikikupendeza, ruhusu Wayuadi walio katika mji wa Shushani wapige mbiu hii na kesho, na miili ya watoto wa Hamani itundikwe juu ya miti.”
14 El rey ordenó que se hiciera esto. Se dio un decreto en Susa, y colgaron a los diez hijos de Amán.
Mfalme akaamuru ombi la Esta litekelezwe. Mbiu ilipigwa katika mji wa Shushani, na wana kumi wa Hamani wakatundikwa juu ya miti.
15 Los judíos que estaban en Susa se reunieron también el día catorce del mes de Adar y mataron a trescientos hombres en Susa, pero no pusieron la mano en el botín.
Wayahudi katika mji wa Shushani walisanyika pamoja siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari, na kuwaua maadui zao mia tatu katika mji wa Shushani, lakini hawakugusa nyara zao.
16 Los demás judíos que estaban en las provincias del rey se reunieron, defendieron sus vidas, descansaron de sus enemigos y mataron a setenta y cinco mil de los que los odiaban; pero no pusieron su mano en el botín.
Na Wayahudi katika majimbo mengine wakakusanyika ili kujilinda na wakapata faraja kutoka kwa maadui na wakawaua maadui zao elfu sabini na tano, lakini hawakugusa mikono yao kwa vitu vya thamani wale waliouwawa.
17 Esto lo hicieron el día trece del mes de Adar, y el día catorce de ese mes descansaron y lo convirtieron en un día de fiesta y alegría.
Katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari, Wayahudi wakapumzika katika siku ya kumi na nne, wakapumzika siku hiyo ya karamu na furaha.
18 Pero los judíos que estaban en Susa se reunieron los días trece y catorce del mes; y el día quince de ese mes descansaron, y lo convirtieron en un día de fiesta y alegría.
Lakini Wayahudi walioishi katika mji wa Shushani wakaja pamoja siku ya kumi na tatu na ya kumi na nne. Na siku ya kumi na tano wakapumzika na wafanya karamu na kufurahia.
19 Por lo tanto, los judíos de las aldeas que viven en las ciudades no amuralladas, hacen del decimocuarto día del mes de Adar un día de alegría y de fiesta, un día festivo, y un día para enviarse regalos de comida unos a otros.
Hii ndiyo sababu Wayahudi wa vijijini, wanaishi maeneo ya vijijini, huadhimisha siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari kama siku ya furaha na karamu na siku ambayo hutumiana zawadi kwa kila mmoja.
20 Mardoqueo escribió estas cosas y envió cartas a todos los judíos que se encontraban en todas las provincias del rey Asuero, tanto de cerca como de lejos,
Modekai akaweka mambo haya na akatuma nyaraka kwa Wayahudi wote waliokuwa katika utawala wa Mfalme Ahusiero,
21 para ordenarles que celebraran anualmente los días catorce y quince del mes de Adar,
akiwataka kuazimisha siku ya kumi na nne na kumi na tano ya mwezi wa Adari kila mwaka.
22 como los días en que los judíos descansaban de sus enemigos, y el mes que se convertía para ellos de tristeza en alegría, y de luto en fiesta; para que los hicieran días de fiesta y de alegría, y para que se enviaran regalos de comida unos a otros, y regalos a los necesitados.
Hizi zilikuwa ndizo siku ambazo Wahudi walipata faraja kutoka kwa maadui zao na wakati huu ndio wakati ambao huzuni ya Wayahudi iligeuzwa kuwa furaha, na kutoka kwa maombolezo hadi kwenye pumziko. Walipaswa kuzifanya siku za karamu na furaha, na kutumiana zawadi ya chakula, na zawadi kwa masikini.
23 Los judíos aceptaron la costumbre que habían iniciado, como les había escrito Mardoqueo,
Wayahudi wakaendelea na maadhimisho wakifanya kile ambacho Modekai alikuwa amewaandikia.
24 porque Amán, hijo de Hamedata, el agagita, enemigo de todos los judíos, había tramado contra los judíos para destruirlos, y había echado a “Pur”, es decir, a la suerte, para consumirlos y destruirlos;
Na wakati huo Modekai mwana wa Hammedatha mwagagi, adui wa Wayahudi aliyekuwa amepanga njama ya kuwaangamiza Wayahudi, na kwa kupiga Puri (yaani akapiga kura) ili kuwaangamiza kabisa.
25 pero cuando esto fue conocido por el rey, éste ordenó por cartas que su malvado plan, que había planeado contra los judíos, volviera sobre su propia cabeza, y que él y sus hijos fueran colgados en la horca.
Lakini Mfalme Ahusiero alipopata taarifa ya mpango mbaya huu alioupanga Modekai dhidi ya Wayahudi, aliagiza kwa nyaraka afanyiwe Modekai mwenyewe, na kwamba yeye na wana wake wanyongwe juu ya miti.
26 Por eso llamaron a estos días “Purim”, de la palabra “Pur”. Por lo tanto, a causa de todas las palabras de esta carta, y de lo que habían visto sobre este asunto, y de lo que les había llegado,
Hivyo Wayahudi wakaziita siku hizi Purimu, kutokana na jina Puri. Kwa sababu ya mambo yote yaliyo kuwa yameandika katika barua, na mambo yote ambayo walikuwa wameyaona kwa macho yao, na yale yalikuwa yamewapata,
27 los judíos establecieron y se impusieron a sí mismos, a sus descendientes y a todos los que se unieron a ellos, para que no dejasen de guardar estos dos días según lo que estaba escrito y según su tiempo señalado cada año;
Wayahudi wakapokea jukumu na desturi mpya. Desturi hii iwe kwa ajili yao, watoto wao, na kila ambaye aliyeungana nao. Na itakuwa kwamba maadhimisho haya watayafanya kwa kila mwaka. Wataadhimisha kwa namna fulani na nyakati hizo hizo kila mwaka.
28 y que estos días fueran recordados y guardados a través de cada generación, cada familia, cada provincia y cada ciudad; y que estos días de Purim no desaparecieran de entre los judíos, ni su memoria pereciera de su descendencia.
Siku hizi zilipaswa kuadhimishwa katika kila kizazi, kila familia, kila jimbo na kwa kila mji. Wayahudi hawa na watoto wao hawakuacha kuadhimisha siku hizi za Purimu, ili kwamba wasizisahau.
29 Entonces la reina Ester, hija de Abihail, y el judío Mardoqueo escribieron con toda autoridad para confirmar esta segunda carta de Purim.
Malkia Esta na Modekai wakaandika kwa mamlaka yote na kuthibitisha barua hii ya pili kuhusu Purimu.
30 Envió cartas a todos los judíos de las ciento veintisiete provincias del reino de Asuero con palabras de paz y de verdad,
Barua zilipelekwa katika majimbo 127 ya mfalme Ahusiero, zikiwatakia Wayahudi wote amani na kweli.
31 para confirmar estos días de Purim en sus tiempos señalados, como habían decretado Mardoqueo el judío y la reina Ester, y como se habían impuesto a sí mismos y a sus descendientes en materia de ayunos y de luto.
Na kuthibitisha siku za Purimu sawa sawa na maelekezo ya Modekai na Esta yaliyowataka Wayahudi waadhimishe. Wayahudi wakatii maagizo kwa ajili yao na uzao wao, kama walivyotii siku za kufunga na kuomboleza.
32 El mandamiento de Ester confirmó estos asuntos de Purim; y fue escrito en el libro.
Agizo la Esta likahakikisha sheria hizi kuhusu Purimu, na ikaandikwa katika kitabu.

< Ester 9 >