< Deuteronomio 16 >
1 Observa el mes de Abib y celebra la Pascua a Yahvé vuestro Dios; porque en el mes de Abib Yahvé vuestro Dios te sacó de Egipto de noche.
Angalia mwezi wa Abibu, na uishike pasaka ya Yahwe Mungu wako, kwa kuwa katika mwezi wa Abibu Yahwe Mungu wako alikuleta toka Misri usiku.
2 Sacrificarás la Pascua a Yahvé vuestro Dios, de los rebaños y de las vacas, en el lugar que Yahvé elija para hacer habitar allí su nombre.
Utamtolea dhabibu ya pasaka Yahwe Mungu wako na baadhi ya mifugo na wanyama kwenye eneo ambalo Yahwe atachagua kama patakatifu pake.
3 No comerás con ella pan con levadura. Comerás con ella panes sin levadura durante siete días, el pan de la aflicción (porque salisteis de la tierra de Egipto apresuradamente) para que recordéis el día en que salisteis de la tierra de Egipto todos los días de vuestra vida.
Hautakula mkate wa chachu pamoja nayo, siku saba utakula mkate usio na chachu, mkate wa mateso; kwa kuwa mlitoka katika nchi ya Misri kwa haraka. Fanya haya katika siku zako zote za maisha yako ili uweze kukumbuka akilini siku mliotoka nchi ya Misri.
4 No se verá levadura con vosotros en todo vuestro territorio durante los siete días; ni nada de la carne que sacrifiquéis el primer día por la tarde, permanecerá toda la noche hasta la mañana.
Hakuna chachu inapaswa kuonekana miongoni mwenu ndani ya mipaka yenu wakati wa siku saba; wala nyama yoyote mnayotoa dhabihu jioni kwa siku ya kwanza inabaki mpaka asubuhi.
5 No podrás sacrificar la Pascua dentro de ninguna de las puertas que Yahvé, tu Dios, te da;
Msitoe dhabihu ya pasaka kati ya malango yenu ya ndani ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa.
6 sino en el lugar que Yahvé, tu Dios, elija para hacer habitar su nombre, allí sacrificarás la Pascua al atardecer, al ponerse el sol, en la época en que saliste de Egipto.
Badala yake, toa dhabihu katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake. Hapo mtatoa dhabihu ya pasaka jioni wakati jua linazama, kwa wakati huo wa mwaka mlitoka Misri.
7 La asarás y la comerás en el lugar que elija Yahvé vuestro Dios. Por la mañana volveréis a vuestras tiendas.
Mtapaswa kuichoma na kuila katika eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua; asubuhi mtageuka na kwenda kwenye mahema yenu.
8 Durante seis días comerás panes sin levadura. El séptimo día será una asamblea solemne para Yahvé vuestro Dios. No harás ningún trabajo.
Kwa siku sita mtakula mkate usiotia chachu; katika siku ya saba kutakuwa na kusanyiko makini kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu; katika siku hiyo hamtafanya kazi.
9 Contaréis para vosotros siete semanas. Desde el momento en que empecéis a meter la hoz en el grano en pie, empezaréis a contar siete semanas.
Mtahesabu wiki saba kwa ajili yenu; tangu wakati mlipoanza kuweka mundu kwenye nafaka iliyosimama mtapaswa kuanza kuhesabu wiki saba.
10 Celebrarás la fiesta de las semanas a Yahvé vuestro Dios con un tributo de ofrenda voluntaria de tu mano, que darás según te bendiga Yahvé vuestro Dios.
Mtapaswa kushika wiki za sherehe ya Yahwe Mungu wenu pamoja na mchango wa sadaka ya utayari kutoka mkono wako ambayo utatoa, kulingana na Yahwe alivyokubariki.
11 Te alegrarás ante Yahvé vuestro Dios: tú, tu hijo, tu hija, tu siervo, tu sierva, el levita que esté dentro de tus puertas, el extranjero, el huérfano y la viuda que estén entre vosotros, en el lugar que Yahvé vuestro Dios elija para hacer habitar allí su nombre.
Utafurahi mbele ya Yahwe Mungu wako- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi aliye katika malango yako, na mgeni, yatima, na mjane alio miongoni mwenu, katika eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kwa ajili ya patakatifu pake.
12 Recordarás que fuiste esclavo en Egipto. Observarás y pondrás en práctica estos estatutos.
Utakumbuka akilini kwamba ulikuwa mtumwa Misri; unapaswa kuangalia na kuzishika amri hizi.
13 Celebrarás la fiesta de las cabañas durante siete días, después de recoger de tu era y de tu lagar.
Unapaswa kushika sherehe za vibanda kwa siku saba baada ya kuwa mmekusanya mavuno toka kwenye sakafu ya mapura na kutoka kwenye kinu chako cha divai.
14 Te alegrarás de tu fiesta, tú, tu hijo, tu hija, tu siervo, tu sierva, el levita, el extranjero, el huérfano y la viuda que estén dentro de tus puertas.
Utafurahi wakati wa sherehe- wewe, kijana wako, binti wako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi, na mgeni, na yatima na mjane walio ndani ya malango yako.
15 Celebrarás una fiesta a Yahvé vuestro Dios durante siete días en el lugar que Yahvé elija, porque Yahvé vuestro Dios te bendecirá en todo tu producto y en todo el trabajo de tus manos, y estarás completamente alegre.
Kwa siku saba unapaswa kuangalia sherehe ya Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo Yahwe atachagua, kwa sababu Yahwe Mungu wako atakubariki katika mavuno yako yote na kazi ya mikono yako yote, na unapaswa kuwa na furaha kabisa.
16 Tres veces al año todos tus varones se presentarán ante el Señor tu Dios en el lugar que él elija: en la fiesta de los panes sin levadura, en la fiesta de las semanas y en la fiesta de las cabañas. No se presentarán vacíos ante Yahvé.
Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote wanapaswa kuonekana mbele za Yahwe Mungu wako katika eneo ambalo atachagua: katika sherehe ya mkate usiotiwa chachu, katika sherehe za wiki, na sherehe ya vibanda; na hawataonekana mbele za Yahwe mikono mitupu;
17 Cada uno dará lo que pueda, según la bendición de Yahvé, tu Dios, que te ha dado.
badala yake, kila mtu atatoa kama awezavyo, kwamba mtajua baraka kwamba Yahwe Mungu wako amekupa.
18 Harás jueces y funcionarios en todas tus ciudades, que el Señor, tu Dios, te da, según tus tribus; y ellos juzgarán al pueblo con recto juicio.
Unapaswa kufanya waamuzi na maakida ndani ya malango yako ambayo Yahwe Mungu wako anakupa; watachukuliwa toka kila kabila, and watahukumu watu kwa hukumu ya haki.
19 No pervertirás la justicia. No mostrarás parcialidad. No aceptarás soborno, porque el soborno ciega los ojos de los sabios y pervierte las palabras de los justos.
Haupaswi kuiondoa haki kwa nguvu; haupaswi kuonesha upendeleo wala kuchukua rushwa, kwa kuwa rushwa upofusha macho ya hekima na kupotosha maneno ya haki.
20 Seguirás lo que es totalmente justo, para que vivas y heredes la tierra que el Señor tu Dios te da.
Unapaswa kufata baada ya haki, baada ya haki peke yake, ili kwamba uishi na kurithi nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa.
21 No plantaréis para vosotros ningún tipo de árbol junto al altar de Yahvé vuestro Dios, que haréis para vosotros.
Haupaswi kujitengenezea Asherahi, aina yoyote ya mti, kando ya madhabahu ya Yahwe Mungu wako ambayo utakayojitengenezea.
22 Tampoco os pondréis una piedra sagrada que el Señor, vuestro Dios, odie.
Wala usijitengenezee jiwe takatifu la nguzo, ambalo Yahwe Mungu wako anachukia.