< 1 Timoteo 2 >

1 Exhorto, pues, ante todo, a que se hagan peticiones, oraciones, súplicas y acciones de gracias por todos los hombres,
Kwa hiyo awali ya yote, nahitaji maombi, na dua, na maombezi, na shukrani vifanyike kwa ajili ya watu wote,
2 por los reyes y por todos los que están en autoridad, para que llevemos una vida tranquila y sosegada en toda piedad y reverencia.
kwa ajili ya wafalme na wote ambao wako kwenye mamlaka, ili kwamba tuweze kuishi maisha ya amani na utulivu katika utauwa wote na heshima.
3 Porque esto es bueno y agradable a los ojos de Dios, nuestro Salvador,
Hili ni jema na lenye kukubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu.
4 que desea que todos los hombres se salven y lleguen al pleno conocimiento de la verdad.
Yeye hutamani kuwa watu wote waokolewe na wapate kuijua kweli.
5 Porque hay un solo Dios y un solo mediador entre Dios y los hombres, el hombre Cristo Jesús,
Kwa kuwa kuna Mungu mmoja, na kuna mpatanishi mmoja kati ya Mungu na mwanadamu ambaye ni Kristo Yesu.
6 que se entregó a sí mismo en rescate por todos, el testimonio a su debido tiempo,
Alijitoa mwenyewe kama fidia kwa wote, kama ushuhuda kwa wakati muafaka.
7 para el cual fui designado predicador y apóstol — digo la verdad en Cristo, no miento —, maestro de los gentiles en la fe y la verdad.
Kwa sababu hii, mimi mwenyewe nilifanywa kuwa mjumbe wa injili na mtume. Nasema kweli. Sisemi uongo. Mimi ni mwalimu watu Mataifa katika imani na kweli.
8 Deseo, pues, que los hombres oren en todo lugar, levantando las manos santas, sin ira ni duda.
Kwa hiyo, nataka wanaume kila mahali waombe na kuinua mikono mitakatifu bila ghadhabu na mashaka.
9 De la misma manera, que también las mujeres se adornen con ropa decente, con modestia y propiedad, no con cabellos trenzados, oro, perlas o ropa costosa,
Vivyo hivyo, nataka wanawake wajivike mavazi yanayokubalika, kwa heshima na kujizuia. Wasiwe na nywele zilizosukwa, au dhahabu, au Lulu, au mavazi ya gharama kubwa.
10 sino con buenas obras, lo cual es apropiado para las mujeres que profesan la piedad.
Pia nataka wavae mavazi yanayowastahili wanawake wanaokiri uchaji kwa kupitia matendo mema.
11 Que la mujer aprenda en tranquilidad con plena sumisión.
Mwanamke na ajifunze katika hali ya utulivu na kwa utii wote.
12 Pero no permito que la mujer enseñe, ni que ejerza autoridad sobre el hombre, sino que esté en quietud.
Simruhusu mwanamke kufundisha, au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume bali aishi katika hali ya ukimya.
13 Porque primero fue formado Adán y luego Eva.
Kwa kuwa Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
14 Adán no fue engañado, pero la mujer, siendo engañada, ha caído en la desobediencia;
Adamu hakudanganywa, lakini mwanamke alidanganywa kabisa katika uasi.
15 pero se salvará por medio de sus hijos, si continúan en la fe, el amor y la santidad con sobriedad.
Hata hivyo, ataokolewa kwa kupitia kuzaa watoto, kama wataendelea katika imani na upendo na katika utakaso na akili njema.

< 1 Timoteo 2 >