< 1 Crónicas 1 >
2 Kenan, Mahalalel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoc, Matusalén, Lamec,
Henoko, Methusela, Lameki.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Los hijos de Jafet: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech y Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Los hijos de Gomer: Ashkenaz, Diphath y Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Los hijos de Javán: Elishah, Tarsis, Kittim y Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Los hijos de Cam: Cus, Mizraim, Put y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Los hijos de Cus: Seba, Havilah, Sabta, Raama y Sabteca. Los hijos de Raamah: Sabá y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Cus se convirtió en el padre de Nimrod. Él comenzó a ser un poderoso en la tierra.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Mizraim se convirtió en el padre de Ludim, Anamim, Lehabim, Naphtuhim,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Pathrusim, Casluhim (de donde vinieron los filisteos) y Caphtorim.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Canaán se convirtió en el padre de Sidón, su primogénito, Het,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 el jebuseo, el amorreo, el gergeseo,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 el heveo, el arquita, el sinita,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 el arvadita, el zemarita y el hamateo.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arpachshad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether y Meshech.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpachshad fue padre de Shelah, y Shelah fue padre de Heber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 A Heber le nacieron dos hijos: el nombre del uno fue Peleg, porque en sus días la tierra fue dividida; y el nombre de su hermano fue Joktán.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Joktán fue padre de Almodad, Shelef, Hazarmaveth, Jerah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
23 Ophir, Havilah y Jobab. Todos estos fueron hijos de Joktán.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arpachshad, Shelah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
27 Abram (también llamado Abraham).
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Estas son sus generaciones: el primogénito de Ismael, Nebaiot; luego Cedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafis y Cedemah. Estos son los hijos de Ismael.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Los hijos de Cetura, concubina de Abraham: dio a luz a Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak y Shuah. Los hijos de Joksán: Seba y Dedán.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Los hijos de Madián: Efá, Efer, Hanoc, Abida y Eldaá. Todos estos fueron hijos de Cetura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abraham se convirtió en el padre de Isaac. Los hijos de Isaac: Esaú e Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jalam y Coré.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Los hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefi, Gatam, Kenaz, Timna y Amalec.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Los hijos de Reuel: Nahat, Zerah, Shammah y Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Los hijos de Seir: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer y Disán.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Los hijos de Lotán: Hori y Homam; y Timna era hermana de Lotán.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Los hijos de Sobal: Alian, Manahath, Ebal, Shephi y Onam. Los hijos de Zibeón: Aiah y Anah.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 El hijo de Aná: Disón. Los hijos de Disón: Hamrán, Eshbán, Itrán y Querán.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Los hijos de Ezer: Bilhan, Zaavan y Jaakan. Los hijos de Disán: Uz y Arán.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes de que ningún rey reinara sobre los hijos de Israel Bela hijo de Beor, y el nombre de su ciudad fue Dinhabah.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Murió Bela, y en su lugar reinó Jobab, hijo de Zera, de Bosra.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Murió Jobab, y reinó en su lugar Husam, de la tierra de los temanitas.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Murió Husam, y reinó en su lugar Hadad, hijo de Bedad, que hirió a Madián en el campo de Moab, y el nombre de su ciudad fue Avit.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Murió Hadad, y en su lugar reinó Samá de Masreca.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Murió Samá, y reinó en su lugar Saúl, de Rehobot, junto al río.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Murió Saúl, y en su lugar reinó Baal Hanán, hijo de Acbor.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Murió Baal Hanán, y en su lugar reinó Hadad; el nombre de su ciudad fue Pai. Su esposa se llamaba Mehetabel, hija de Matred, hija de Mezahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Luego murió Hadad. Los jefes de Edom fueron: el jefe Timna, el jefe Aliah, el jefe Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 el jefe Oholibamah, el jefe Elah, el jefe Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 el jefe Kenaz, el jefe Teman, el jefe Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 el jefe Magdiel y el jefe Iram. Estos son los jefes de Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.