< Salmos 87 >
1 Una canción. Un salmo de los descendientes de Coré. El Señor fundó la ciudad en su monte santo.
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 Jerusalén es la ciudad que ama más que a cualquier ciudad de Israel.
Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
3 ¡Muchas cosas maravillosas te son dichas, ciudad de Dios! (Selah)
Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
5 Será dicho de Jerusalén: “Todo el mundo nació allí”, y el Altísimo la hará segura.
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6 Cuando el Señor cuente las naciones, escribirá: “Ellos nacieron allí”. (Selah)
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7 Los cantores y bailarines dirán: “Viviendo aquí me siento en casa”.
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”