< Salmos 72 >
1 Un de Salomón. Dios, por favor, dale al rey sentido de justicia y la capacidad para hacer lo recto con el hijo del rey.
Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
2 Que juzgue a tu pueblo con rectitud y que sea justo con los pobres.
Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
3 Que los montes traigan paz al pueblo, y las colinas bondad.
Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
4 Que defienda al pobre y salve a sus hijos. Que aplaste a quienes los oprimen.
Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
5 Que ellos lo respeten tanto como brille el sol y la luna en los cielos, por todas las generaciones.
Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
6 Que su reino sea como la lluvia que cae sobre la hierba nueva, como el rocío que riega la tierra.
Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
7 Que los que viven en justicia prosperen bajo su gobierno, y que haya prosperidad hasta que la luna no salga más.
Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
8 Que gobierne de un mar a otro, de un rio a otro y en todos los extremos de la tierra.
Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
9 Las tribus que habitan en el desierto se arrodillarán ante él, y sus enemigos comerán del polvo de la tierra.
Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
10 Los reyes de Tarsis y las islas le traerán tributos; y los reyes de Saba y Seba vendrán con regalos.
Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
11 Cada rey se arrodillará ante él; cada nación le servirá.
Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
12 Él ayudará al pobre cuando clame a él, y ayudará a los que sufren y no tienen quien los ayude.
Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
13 Él tiene compasión de los pobres y necesitados. ¡Él es quien salva sus vidas!
Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
14 Él los rescata de la violencia y la opresión, porque sus vidas son de gran valor para él.
Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
15 ¡Que viva para siempre! Que Saba le regale todo su oro. Que el pueblo siempre ore por él y lo bendiga todo el día.
Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
16 Que haya abundancia de grano en la tierra, incluso que crezca en lo alto de las montañas. Que el fruto de los árboles cuelgue como en los árboles del Líbano. Que la gente de la ciudad prospere como la hierba en el campo.
Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
17 Que su renombre dure para siempre, tanto como el sol. Que todas las naciones Sean bendecidas a través de él, y que todas lo alaben.
Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
18 ¡Alaben al Señor, Dios de Israel, porque es el único que puede hacer tales maravillas!
Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
19 ¡Alaben su maravilloso nombre para siempre! ¡Que todo el mundo sea lleno de su gloria! ¡Amén y amén!
Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
20 (Este es el fin de los Salmos de David, hijo de Isaí).
Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu