< Salmos 57 >

1 Para el director del coro. Según melodía de “No destruyas”. Un Salmo (Mictam) de David sobre la vez que huyó de Saúl y se escondió en la cueva. ¡Sé bueno conmigo, Dios! Sé bueno conmigo porque vengo a ti por protección. Me abrigaré bajo la sombra de tus alas hasta que el peligro haya pasado.
Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
2 Clamé por ayuda al Dios Altísimo, a Dios, quien me defiende.
Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
3 Desde los cielos él envió su ayuda, y me salvó. Él derrota a aquellos que me persiguen. (Selah) Dios me envía su gran amor, mostrándome que es digno de confianza.
Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
4 ¡Me rodean los leones que comen hombres, y soy forzado a vivir con ellos! Sus dientes son como lanzas y flechas, y sus lenguas como espadas.
Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
5 Dios, tu grandeza está sobre los más altos cielos; ¡Y tu gloria cubre toda la tierra!
Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
6 Ellos ponen trampas para atraparme. Estaba muy deprimido. Cavaron un hoyo en mi camino, pero fueron ellos los que cayeron en él. (Selah)
Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
7 Confío en ti, Dios, confío en ti. Cantaré canciones de alabanza a ti.
Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
8 Me digo a mí mismo, “¡Levántate!” ¡Levántense, arpa y lira! ¡Levantaré al amanecer!
Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
9 Te agradeceré entre los pueblos, Señor; te cantaré alabanzas entre las naciones.
Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
10 Tu gran amor llega hasta los cielos; tu integridad hasta las nubes.
Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
11 ¡Dios, tu grandeza está sobre los más altos cielos; y tu gloria cubre toda la tierra!
Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.

< Salmos 57 >