< Salmos 57 >

1 Para el director del coro. Según melodía de “No destruyas”. Un Salmo (Mictam) de David sobre la vez que huyó de Saúl y se escondió en la cueva. ¡Sé bueno conmigo, Dios! Sé bueno conmigo porque vengo a ti por protección. Me abrigaré bajo la sombra de tus alas hasta que el peligro haya pasado.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni. Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie, kwa maana nafsi yangu inakukimbilia. Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia mpaka maafa yapite.
2 Clamé por ayuda al Dios Altísimo, a Dios, quien me defiende.
Namlilia Mungu Aliye Juu Sana, Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.
3 Desde los cielos él envió su ayuda, y me salvó. Él derrota a aquellos que me persiguen. (Selah) Dios me envía su gran amor, mostrándome que es digno de confianza.
Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa, akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali; Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.
4 ¡Me rodean los leones que comen hombres, y soy forzado a vivir con ellos! Sus dientes son como lanzas y flechas, y sus lenguas como espadas.
Niko katikati ya simba, nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, ambao ndimi zao ni panga kali.
5 Dios, tu grandeza está sobre los más altos cielos; ¡Y tu gloria cubre toda la tierra!
Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
6 Ellos ponen trampas para atraparme. Estaba muy deprimido. Cavaron un hoyo en mi camino, pero fueron ellos los que cayeron en él. (Selah)
Waliitegea miguu yangu nyavu, nikainamishwa chini na dhiki. Wamechimba shimo katika njia yangu, lakini wametumbukia humo wao wenyewe.
7 Confío en ti, Dios, confío en ti. Cantaré canciones de alabanza a ti.
Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
8 Me digo a mí mismo, “¡Levántate!” ¡Levántense, arpa y lira! ¡Levantaré al amanecer!
Amka, nafsi yangu! Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
9 Te agradeceré entre los pueblos, Señor; te cantaré alabanzas entre las naciones.
Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
10 Tu gran amor llega hasta los cielos; tu integridad hasta las nubes.
Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni, uaminifu wako unazifikia anga.
11 ¡Dios, tu grandeza está sobre los más altos cielos; y tu gloria cubre toda la tierra!
Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni, utukufu wako na uwe duniani pote.

< Salmos 57 >