< Salmos 20 >

1 Para el director del coro. Un salmo de David. Que el señor te responda cuando estés en problemas; que el nombre del Dios de Jacob te proteja.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Que el Señor te envíe su ayuda desde el santuario, y que te sostenga desde Sión.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Que el Señor recuerde todas tus ofrendas, y que acepte todos los holocaustos que elevaste desde tu altar. (Selah)
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Que el Señor te conceda todos los deseos de tu corazón. Que haga que todos tus planes prosperen.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Que todos gritemos de alegría por tu victoria, y despleguemos estandartes en nombre de nuestro Dios. Que el Señor responda todas tus peticiones.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Ahora sé que el Señor salvó a aquél que había ungido. Le responderá desde su santo cielo, y salvará a su ungido con su diestra poderosa.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Algunos creen en carruajes y otros en caballos de guerra, pero nosotros confiamos en quien es el Señor.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Ellos se desmoronan y caen, pero nosotros nos levantamos y nos ponemos en pie.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 ¡Que el Señor salve al rey! ¡Por favor respóndenos cuando clamemos por ayuda!
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Salmos 20 >