< Salmos 135 >

1 ¡Alaben al Señor! ¡Alaben su santo nombre! Alaben al Señor, todos ustedes, sus siervos
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 que lo adoran en la casa del Señor, en los atrios de nuestro Dios.
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Alaben al Señor, porque Él es bueno; ¡Canten alabanzas a su nombre por todas sus maravillas!
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Porque el Señor ha escogido a Jacob para sí mismo; a Israel lo hecho suyo.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Conozco cuán grande es el Señor, nuestro Dios es más grande que todos los dioses.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 El Señor hace lo que le place en los cielos y en la tierra, en el mar y en los océanos profundo.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Él levanta las nubes sobre la tierra, hace los relámpagos y las lluvias, envía los vientos desde sus almacenes.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 Acabó con los primogénitos de Egipto, tanto humanos como animales.
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 Hizo milagros maravillosos entre ustedes en Egipto, contra el Faraón y sus siervos.
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Derribó muchas naciones, mató a reyes con gran poderío, tales como
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Sijón, rey de los amorreos, Og, rey de Basán, y todos los reyes que gobernaron sobre Canaán.
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Y entregó sus tierras a Israel, su pueblo predilecto, para que las poseyeran.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Señor, tu nombre permanece para siempre; tú, Señor, serás recordado por todas las generaciones.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 EL Señor reivindicará a su pueblo; y mostrará compasión con los que le siguen.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Los ídolos de las naciones paganas son solo oro y metal, hechos por manos humanas.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Tienen bocas, pero no pueden hablar; tienen ojos, pero no pueden ver.
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 Tienen oídos, pero no pueden oír; ¡Ni siquiera pueden respirar!
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Aquellos que hacen ídolos serán como ellos, y también todos los que confíen en ellos.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 Pueblo de Israel, ¡Alaben al Señor! Descendientes de Aarón, ¡Alaben al Señor!
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 Levitas, ¡Alaben al Señor! Todos los que adoran al Señor, ¡Alábenle!
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 ¡Alaben al Señor desde Sión, porque Él habita en Jerusalén! ¡Alaben al Señor!
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Salmos 135 >