< Salmos 116 >

1 Yo amo al Señor porque Él me escucha, escucha mi clamor pidiendo ayuda.
Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
2 Lo invocaré mientras viva porque Él atiende lo que digo.
Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
3 Estuve atrapado por las trampas de la muerte; Estuve cautivo por los terrores de la tumba. Todo lo que experimenté fue dolor y sufrimiento. (Sheol h7585)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol h7585)
4 Entonces clamé al Señor, “¡Dios, por favor, sálvame!”
Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
5 ¡El Señor es justo y bueno! ¡Nuestro Dios es un Dios compasivo!
Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6 El Señor cuida de los indefensos; cuando fui derribado Él me salvó.
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7 Puedo estar en paz otra vez porque el Señor ha sido bueno conmigo.
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8 Porque me has salvado de la muerte, has detenido mi llanto, y me has salvado de caer.
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9 Ahora puedo caminar con el Señor en la tierra de los vivos.
ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
10 Confié en ti, y clamé a ti diciendo, “¡Estoy sufriendo terriblemente!”
Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
11 Estaba tan molesto que dije, “¡Todos son unos mentirosos!”
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
12 ¿Qué puedo darle al Señor en agradecimiento por todo lo que ha hecho por mí?
Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
13 Levantaré la copa de la salvación y adoraré al Señor.
Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
14 Cumpliré mis promesas al Señor para que todos puedan ver.
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
15 Le duele al Señor cuando mueren aquellos que ama.
Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
16 Señor, realmente soy tu siervo, te sirvo tal y como y mi madre lo hizo antes de mí, sin embargo, tú me has liberado.
Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
17 Te ofreceré sacrificio en acción de gracias y te alabaré.
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
18 Cumpliré mis promesas en presencia de todo tu pueblo,
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
19 en la casa del Señor, justo en Jerusalén. ¡Alabado sea el Señor!
katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Salmos 116 >