< Salmos 112 >

1 ¡Alaben al Señor! ¡Felices son los que lo respetan, quienes aman seguir sus mandamientos!
Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
2 Sus descendientes prosperarán en la tierra prometida; los hijos de aquellos que hacen el bien serán prosperados.
Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3 Sus familias serán ricas; porque el bien que ellos hacen tendrá resultados eternos.
Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
4 La luz brillará en las tinieblas para aquellos que viven en rectitud, para aquellos que son corteses, compasivos, y buenos.
Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
5 Las cosas buenas llegan a aquellos que son generosos con sus préstamos y que son honestos a la hora de hacer negocios.
Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
6 Porque nunca caerán. Los que viven con rectitud nunca serán olvidados.
Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
7 No tienen miedo de las noticias que vengan porque confían completamente en Dios.
Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8 Están seguros y son valientes, y ven a sus enemigos derrotados.
Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9 Comparten de forma generosa, dándole al pobre; el bien que hacen tendrá resultados eternos. Serán respetados grandemente.
Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10 Mas los impíos mirarán todo esto y se enojarán; rechinarán sus dientes con ira. Se consumirán, y todo lo que esperaban vendrá a ser nada.
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

< Salmos 112 >