< Proverbios 9 >

1 La sabiduría ha construido su casa, ha preparado sus siete pilares.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
2 Ella ha sacrificado a sus animales para obtener su carne; ha mezclado su vino y ha alistado la mesa.
Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
3 Ha enviado a sus siervas con invitaciones. Llama desde los lugares altos de la ciudad, diciendo:
Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4 “¡Todos los que necesiten aprender, vengan a mi!” A los insensatos les dice:
“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5 “Vengan, coman mi carne y beban del vino que he mezclado.
Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6 Dejen de vivir con necedad, y sigan el camino de la sensatez”.
Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Si corriges al burlador, recibirás insultos; si corriges al malvado por lo que hace, recibirás abuso.
Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8 Por lo tanto, no discutas con los burladores, pues solo te odiarán; discute con el sabio y te amará.
Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9 Educa al sabio y se volverá más sabio. Enseña a los que viven en rectitud y aumentarán su conocimiento.
Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10 El principio de la sabiduría es honrar a Dios. Y el conocimiento del Santo trae inteligencia.
Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11 Mediante la sabiduría vivirás muchos años más. Añadirás años a tu vida.
Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12 Si eres sabio, tú obtendrás los beneficios de la sabiduría, pero si eres un burlador, solo tú sufrirás las consecuencias.
Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13 La estupidez es como una mujer escandalosa e ignorante.
Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14 Esa que se sienta en la puerta de su casa, se sienta en los lugares altos de la ciudad,
Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
15 llamando a los que pasan, involucrándose en asuntos ajenos, y diciendo:
Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16 “¡Los que necesiten aprender, vengan a mi!” A los necios les dice:
Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
17 “El agua robada es dulce, y la comida que se come en secreto sabe mejor!”
Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
18 Pero ellos no saben que los Muertos están con ella, que aquellos a quienes ella ha invitado antes están en lo profundo de una tumba. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Proverbios 9 >