< Proverbios 7 >

1 Hijo mío, acepta lo que te digo y saca provecho de mis instrucciones.
Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
2 Haz lo que te digo y vivirás. Observa mis enseñanzas, y estímalas como el objetivo principal de tu vida.
Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
3 Átalas a tus dedos y escríbelas en tu mente.
Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
4 A la sabiduría, dile: “Eres mi hermana”, y considera la inteligencia como tu mejor amiga.
Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
5 Ellas te protegerán de la mujer inmoral, y de la prostituta que viene a ti con palabras seductoras.
ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
6 Una vez miré a través de la ventana de mi casa,
Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
7 y vi entre los jóvenes inmaduros a uno que era totalmente insensato.
Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
8 Este hombre caminaba por la calle cerca a la esquina de la casa de la prostituta, y tomó el sendero que pasaba por su casa.
Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9 Ya era la hora del crepúsculo, y la luz se desvanecía, mientras llegaba la oscuridad de la noche.
Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10 Entonces salió esta mujer a su encuentro. Estaba vestida como una prostituta con intenciones engañosas.
Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11 (Era ruidosa y provocativa, sin deseo de quedarse en casa.
Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12 Por momentos caminaba por las calles, luego andaba por las plazas, vagabundeando en cada esquina).
Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13 Lo agarró y lo besó, y con osadía en su rostro, le dijo:
Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
14 “Ya presenté mi ofrenda de paz hoy, y pagué mis votos.
leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
15 Por eso vine a tu encuentro. ¡Te estaba buscando, y ahora te he encontrado!
hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
16 Mi cama está lista, con sábanas de colores traídas desde Egipto.
Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
17 En mi cama he rociado perfume, aromas de mirra, aloe y canela.
Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
18 Ven conmigo, y hagamos el amor hasta el amanecer. ¡Disfrutemos el uno del otro haciendo el amor!
Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
19 Mi esposo no está en casa, pues se ha ido a un largo viaje.
Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
20 Se llevó una bolsa de dinero, y no volverá hasta la luna nueva”.
Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
21 Así lo convenció con sus palabras, y lo sedujo con su hablar.
katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
22 Él la siguió de inmediato, como buey llevado al matadero. Como ciervo atrapado en una trampa
Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
23 hasta que una lanza traspasa su hígado, como un ave que vuela y queda atrapada, y no sabe que pagará con su vida.
mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24 Así que escúchame ahora, hijo mío, y presta atención a lo que digo.
Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
25 No pienses ni siquiera en seguir a tal mujer. No camines por su casa.
Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
26 Porque ella ha hecho caer a muchos hombres, y los ha destruido.
Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
27 Su casa conduce a la muerte, y en su planta baja se encuentran las moradas de la muerte. (Sheol h7585)
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)

< Proverbios 7 >