< Proverbios 6 >

1 Hijo mío, imagina que te has comprometido como codeudor para pagar una deuda a favor de tu vecino, y has estrechado tu mano con un extranjero para cerrar ese pacto,
Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
2 quedando así atrapado por tu promesa, y preso por tu palabra.
basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
3 Esto es lo que debes hacer: Sal de ese compromiso, porque te has puesto bajo el poder de esa persona. Ve donde tu vecino con toda humildad y pídele que te libre de ese compromiso.
Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4 No te demores, ni te vayas a dormir sin haberlo resuelto. No descanses hasta haberlo hecho.
Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5 Sal de esa deuda como la gacela que escapa de una trampa, como un ave que sale de la jaula del cazador.
Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
6 ¡Ve y observa a las hormigas, holgazán! Aprende de lo que hacen, para que seas sabio.
Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 Ellas no tienen un líder, ni un dirigente, ni un gobernador,
Hana akida, afisa au mtawala,
8 y sin embargo trabajan duro durante el verano para obtener su alimento, recogiendo todo lo que necesitan para el tiempo de la cosecha.
lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 ¿Hasta cuándo estarás allí acostado, holgazán? ¿Cuándo te levantarás de tu sueño?
Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 Tú dices: “Dormiré un poco más, solo una siesta, o cruzaré los brazos un poquito más para descansar”.
Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 Pero la pobreza te atacará como un ladrón, y la miseria como un guerrero armado.
ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12 Los rebeldes y malvados andan por ahí diciendo mentiras,
Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
13 guiñando un ojo, haciendo gestos escurridizos con sus pies, y haciendo señales descorteses con sus dedos.
akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14 Sus mentes retorcidas solo traman maldad, causando problemas siempre.
Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
15 Por ello el desastre cae sobre tales personas, y en solo un instante son destruidos sin remedio.
Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
16 Hay seis cosas que el Señor aborrece, y aun siete que detesta:
Kuna vitu sita ambavyo Yehova huvichukia, saba ambavyo ni chukizo kwake.
17 los ojos arrogantes, una lengua mentirosa, las manos que matan al inocente,
Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu,
18 una mente que conspira maldad, los pies que se apresuran a hacer el mal,
moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi,
19 un testigo falso que miente, y los que causan discordia entre las familias.
shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.
20 Hijo mío, presta atención a la instrucción de tu padre, y no rechaces la enseñanza de tu madre.
Mwanangu, itii amri ya baba yako na wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21 Guárdalas siempre en tu mente. Átalas en tu cuello.
Uyafunge katika moyo wako siku zote; yafunge kwenye shingo yako.
22 Ellas te guiarán cuando camines, te cuidarán al dormir, y te hablarán al levantarte.
utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
23 Porque la instrucción es como una lámpara, y la enseñanza es como la luz. La corrección que surge de la disciplina es el camino a la vida.
Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
24 Te protegerá de una mujer malvada y de las palabras seductoras de una prostituta.
Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
25 No dejes que tu mente codicie su belleza, y dejes que te hipnotice con sus pestañas.
Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
26 Puedes comprar una prostituta por el precio de una rebanada de pan, pero el adulterio con la mujer de otro hombre puede costarte la vida.
Kulala na malaya inaweza kugharimu bei ya kipande cha mkate, lakini mke wa mtu mwingine inagharimu uzima wako wote.
27 ¿Puedes poner fuego en tu regazo sin quemar tu ropa?
Je mtu anaweza kubeba moto katika kifua chake bila kuuguza mavazi yake?
28 ¿Puedes caminar sobre carbón encendido sin abrasar tus pies?
Je mtu anaweza kutembea juu ya makaa bila kuchomwa miguu yake?
29 Lo mismo ocurre con todo el que duerme con la esposa de otro hombre. Ningún hombre que la toque quedará sin castigo.
Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa jirani yake; yule alalaye na huyo mke hatakosa adhabu.
30 La gente no condena a un ladrón, si este roba para satisfacer su hambre.
Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa.
31 Pero si lo atrapan, tiene que pagar siete veces lo que robó, incluso devolviendo todo lo que tenga en su casa.
Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.
32 Cualquier hombre que comete adulterio con una mujer es insensato. El que así actúa se destruye a sí mismo.
Mtu anayefanya uzinzi hana akili; hufanya hiyo kwa uharibifu wake mwenyewe.
33 Tal hombre será herido y deshonrado. Su desgracia no cesará.
Anasitahili aibu na majeraha na fedheha yake haiwezi kuondolewa.
34 Porque el celo hará enojar a su esposo, y no se contendrá al tomar venganza.
Maana vivu humghadhibisha mtu; hatakuwa na huruma wakati wa kulipa kisasi chake.
35 Tal esposo rechazará cualquier tipo de compensación; y ninguna cantidad, por grande que sea, podrá pagarle.
Ujapompa zawadi nyingi, hatakubali mbadala wa kusuruhishwa wala kulipwa.

< Proverbios 6 >