< Proverbios 4 >

1 Escuchen, hijos, la instrucción de un padre. Estén atentos al sano juicio,
Wanangu, sikilizeni, fundisho la baba, na zingatieni ili mjue maana ya ufahamu.
2 porque lo que les diré es consejo fiel. No rechacen mis enseñanzas.
Mimi ninawapa mafundisho mazuri; msiyaache mafundisho yangu.
3 Porque yo también fui hijo de mi padre, un joven tierno, e hijo único de mi madre
Mimi nilikuwa mwana kwa baba yangu, mpole na mtoto pekee kwa mama yangu,
4 y él fue quien me instruyó. Me dijo: “Presta atención a las palabras que te digo y no las olvides. Haz lo que te digo y vivirás.
baba alinifundisha akiniambia, “Moyo wako uzingatie sana maneno yangu; shika amri zangu nawe uishi.
5 Obtén sabiduría, busca el sano juicio. No olvides mis palabras, ni las desprecies.
Jipatie hekima na ufahamu; usisahau na kuyakataa maneno ya kinywa changu;
6 “No abandones la sabiduría porque ella te mantendrá a salvo. Ama la sabiduría y ella te protegerá.
usiiache hekima nayo itakulinda; ipenda nayo itakuhifadhi salama.
7 Lo primero que debes hacer para ser sabio es obtener sabiduría. Junto a todo lo que obtengas, procura obtener inteligencia.
Hekima ni kitu cha muhimu sana, hivyo jipatie hekima na tumia namna zote kuweza kupata ufahamu.
8 Atesora la sabiduría y ella te alabará. Abrázala y ella te honrará.
Tunza hekima nayo itakutukuza; ikumbatie nayo itakuheshimu.
9 Colocará sobre tu cabeza una corona de gracia, y te ofrecerá una corona de gloria”.
Hekima itaweka kilemba cha heshima juu ya kichwa chako; itakupa taji zuri.
10 Escucha, hijo mío. Si aceptas lo que te digo, vivirás larga vida.
Mwanangu, sikiliza, na kuzingatia maneno yangu, nawe utapata miaka mingi ya maisha yako.
11 Te he explicado el camino de la sabiduría. Te he guiado por los caminos de rectitud.
Ninakuelekeza katika njia ya hekima, nimekuongoza katika mapito yaliyonyooka.
12 No habrá obstáculos cuando camines, ni tropezarás al correr.
Unapotembea, hakuna atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia hutajikwaa.
13 Aférrate a estas instrucciones, y no las dejes ir. Protégelas, porque son el cimiento de la vida.
Shika mwongozo wala usiuache, utakuongoza, maana ni uzima wako.
14 No andes por el camino de los malvados, ni sigas el ejemplo de los que hacen el mal.
Usifuate njia ya waovu wala usiende katika njia ya watendao uovu.
15 Evítalos por completo y no vayas por allí. Da la vuelta y sigue tu camino.
Jiepushe nayo, usipite katika njia hiyo; geuka na upite njia nyingine.
16 Los malvados no descansan hasta haber cometido maldad. No pueden dormir sin haber engañado a alguna persona.
Maana hawawezi kulala mpaka wafanye ubaya na hupotewa na usingizi hadi wasababishe mtu kujikwaa.
17 Porque comen del pan de la maldad y beben del vino de la violencia.
Maana wao hula mkate wa uovu na hunywa divai ya vurugu.
18 La vida de los que hacen el bien es como la luz de la aurora, que va en aumento hasta que su luz llega a plenitud del día.
Bali njia ya mwenye kutenda haki ni kama mwanga ung'aao, huangaza zaidi na zaidi hadi mchana inapowasili kwa ukamilifu.
19 Pero la vida de los malvados es como la total oscuridad, en la que no pueden ver con qué tropiezan.
Njia ya waovu ni kama giza - hawajui ni kitu gani huwa wanajikwaa juu yake.
20 Hijo mío, presta atención a lo que te digo y escucha mis palabras.
Mwanangu, zingatia maneno yangu; sikiliza kauli zangu.
21 No las pierdas de vista y reflexiona sobre ellas,
Usiziache zikaondoka machoni pako; uzitunze katika moyo wako.
22 porque son vida para quien las encuentra, y traen sanidad a todo el cuerpo.
Maana maneno yangu ni uzima kwa wenye kuyapata na afya katika mwili wao.
23 Por encima de todas las cosas, protege tu mente, pues todo en la vida procede de ella.
Ulinde salama moyo wako na uukinge kwa bidii zote; kwa kuwa katika moyo hububujika chemichemi za uzima.
24 Nunca mientas, ni hables con deshonestidad.
Jiepushe na kauli za udanganyifu na ujiepushe na mazungumzo ya ufisadi.
25 Enfócate en lo que está delante de ti, mira lo que tienes adelante.
Macho yako yatazame mbele kwa unyoofu na kwa uthabiti tazama mbele sawasawa.
26 Pon tu atención en el camino que te has propuesto, y estarás seguro donde vayas.
Usawazishe pito la mguu wako; na njia zako zote zitakuwa salama.
27 No te apartes ni a la derecha, ni a la izquierda, y aléjate del mal.
Usigeuke upande wa kulia au kushoto; ondoa mguu wako mbali na uovu.

< Proverbios 4 >