< Proverbios 22 >
1 Tener una buena reputación es mejor que tener mucho dinero. El respeto es mejor que la plata y que el oro.
Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
2 Los ricos y los pobres tienen algo en común: el Señor es su creador.
Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
3 Si eres prudente, verás venir el peligro y te apartarás; pero los necios siguen sin cuidado y sufren las consecuencias.
Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
4 Si eres humilde y respetas al Señor, tu recompense será la riqueza, el honor y la vida.
Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
5 Solo hay espinas y trampas en el camino de los corruptos. Los que estiman sus vidas se mantendrán lejos de ellos.
Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
6 Enseña a los niños el modo correcto de vivir, y cuando crezcan, seguirán viviendo en rectitud.
Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
7 El rico gobierna al pobre, y los que piden dinero prestado son esclavos de los prestamistas.
Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
8 Los que siembran injusticia, cosecharán desastre. Y los golpes que dan a otros, cesarán.
Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
9 Si eres generoso, serás bendecido por compartir tu comida con los necesitados.
Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
10 Deshazte de los burlones y acabarás con el conflicto. Entonces no habrá discusiones ni insultos.
Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
11 Todo el que estima la sinceridad y habla con cortesía, tendrá al rey como amigo.
Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
12 El Señor cuida del conocimiento, pero se opone a las palabras de los mentirosos.
Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
13 Los perezosos dicen: “Hay un león allá afuera. ¡Si salgo podría morir!”
Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
14 Las palabras seductoras de una mujer inmoral son como una trampa peligrosa. Si el Señor está enojado contigo, caerás en la trampa.
Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
15 Los niños son ignorantes por naturaleza. La corrección física les ayudará a entrar en razón.
Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
16 Si oprimes al pobre para hacerte rico, o si eres generoso con el rico, terminarás siendo pobre tú mismo.
Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
17 Atiende y escucha las palabras de los sabios. Medita cuidadosamente en mis enseñanzas,
Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
18 porque es bueno que guardes estas palabras en tu mente para que estés listo para compartirlas.
maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
19 Hoy te explico hoy para que confíes en el Señor. ¡Sí, a ti!
Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
20 ¿Acaso no he escrito para ti treinta consejos de sabiduría?
Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
21 Son para aclararte lo recto y verdadero, a fin de que puedas dar una explicación veraz a aquellos a que te enviaron.
kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
22 Pues no debes robarle al pobre solo porque es pobre; y no deberías sofocar en la corte a los de menos recursos,
Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
23 porque el Señor peleará su caso, y recuperará lo que les hayan robado.
maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
24 No te hagas amigo de quien se enoja fácilmente. No se asocies con personas irascibles,
Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
25 para que no aprendas a ser como ellos y no destruyas tu vida.
au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
26 No te comprometas con apretón de manos a ser fiador de otro,
Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
27 porque si no puedes pagar, ¿por qué tendrían que embargar tu cama?
Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
28 No muevas los hitos fronterizos que establecieron tus antepasados.
Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
29 Si ves a alguien con talento en su trabajo, notarás que trabajará para reyes y no para la gente común.
Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.