< Proverbios 21 >

1 El Señor dirige las decisiones del rey como si fuera una corriente de agua, enviándola en la dirección que él quiere.
Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana; huuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo.
2 La gente cree que lo que hace es lo correcto, pero el Señor mira sus motivos.
Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake, bali Bwana huupima moyo.
3 Hacer lo recto y justo agrada al Señor más que los sacrificios.
Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika zaidi kwa Bwana kuliko dhabihu.
4 El orgullo y la arrogancia son los pecados que guían la vida de los malvados.
Macho ya kudharau na moyo wa kiburi, ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!
5 Los que hacen planes con anticipación y trabajan arduamente tendrán abundancia. Mientras que los que actúan precipitadamente terminarán en la pobreza.
Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida, kama vile kwa hakika pupa huelekeza kwenye umaskini.
6 El dinero que se obtiene con mentiras es como el humo en el viento. Su búsqueda terminará en muerte.
Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.
7 La destrucción causada por los malvados los destruirá, y será por negarse a hacer lo correcto.
Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.
8 Los culpables viven vidas torcidas, pero los inocentes siguen caminos rectos.
Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
9 Es mejor vivir en un rincón del terrado, que compartir toda una casa con una esposa conflictiva.
Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba, kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
10 Los malvados se alegran haciendo el mal, y no les importa el mal que le causan a los demás.
Mtu mwovu hutamani sana ubaya, jirani yake hapati huruma kutoka kwake.
11 Cuando un burlador es castigado, un inmaduro puede aprender sabiduría. Cuando los sabios son educados, obtienen conocimiento.
Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa, mjinga hupata hekima; wakati mtu mwenye hekima afundishwapo, hupata maarifa.
12 El Dios de justicia ve lo que sucede en las casas de los malvados, y los derriba hasta el desastre.
Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu, naye atawaangamiza waovu.
13 Si te rehúsas a escuchar el lamento de los pobres, tampoco tus lamentos serán oídos.
Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini, yeye pia atalia, wala hatajibiwa.
14 Un regalo dado en secreto calma la ira, y un botín oculto apacigua el furor.
Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira na rushwa iliyofichwa kwenye nguo hutuliza ghadhabu kali.
15 Cuando se hace justicia, los justos se alegran; pero los que hacen el mal se espantan.
Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki, bali kitisho kwa watenda mabaya.
16 El que se desvía del camino del entendimiento termina con los muertos.
Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu, hupumzika katika kundi la waliokufa.
17 Si amas el placer, te volverás pobre. Si amas el vino y el aceite, nunca llegarás a ser rico.
Mtu apendaye anasa atakuwa maskini, yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.
18 Los que pagan el precio son los malvados y no los justos; también pagan los mentirosos y no los que viven en rectitud.
Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.
19 Es mejor vivir en un desierto que con una esposa conflictiva y de mal temperamento.
Ni afadhali kuishi jangwani kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi.
20 Los sabios retienen su riqueza y el aceite que poseen, pero los tontos gastan todo lo que tienen.
Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo.
21 Si procuras la bondad y el amor fiel, hallarás vida, prosperidad y honra.
Yeye afuatiaye haki na upendo hupata uzima, mafanikio na heshima.
22 Los sabios pueden conquistar la ciudad de los guerreros fuertes, y derribar las fortalezas que creen que los protegen.
Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu, na kuangusha ngome wanazozitegemea.
23 Si cuidas tus palabras, te librarás de muchos problemas.
Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake hujilinda na maafa.
24 Burlador orgulloso y presumido es el nombre del que actúa con arrogancia insolente.
Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake; hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.
25 Los holgazanes morirán de hombre por negarse a trabajar.
Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.
26 Hay quienes solo quieren tener más, pero los justos dan con generosidad.
Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.
27 Los sacrificios de los malvados son detestables, y peor aún es cuando los traen con motivaciones malvadas.
Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo, si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!
28 Las mentiras de los testigos falsos se desvanecen, pero las palabras del testigo fiel permanecerán.
Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.
29 Los malvados actúan sin vergüenza alguna, pero los justos cuidan cada cosa que hacen.
Mtu mwovu ana uso wa ushupavu, bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.
30 Toda la sabiduría, entendimiento e instrucción que puedas lograr no son nada delante del Señor.
Hakuna hekima, wala akili, wala mpango unaoweza kufaulu dhidi ya Bwana.
31 Puedes alistar tu caballo para la batalla, pero la victoria es del Señor.
Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita, bali ushindi huwa kwa Bwana.

< Proverbios 21 >