< Proverbios 18 >

1 Los egoístas solo se complacen a sí mismos. Atacan todo lo que procede de la inteligencia.
Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
2 A los necios no les importa entender, sino solo expresar sus opiniones.
Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
3 Con la maldad viene el desprecio, y con la deshonra viene la desgracia.
Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4 Las palabras de las personas pueden ser profundas como las aguas; como una corriente que brota y es la fuente de la sabiduría.
Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
5 No es correcto mostrar preferencia con el culpable y privar al inocente de la justicia.
Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
6 Las palabras de los necios los meten en problemas, como si pidieran a gritos una paliza.
Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
7 Los necios caen por sus propias palabras. Sus propias palabras los enredan en una trampa.
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
8 Escuchar chismes es como comer bocados de tu comida favorita. Llegan hasta lo más profundo.
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
9 La pereza y la destrucción son hermanos.
Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
10 El Señor es una torre protectora para los justos, bajo la cual pueden estar seguros.
Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
11 Los ricos ven la riqueza como una ciudad fortificada. Es como un muro alto en su imaginación.
Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
12 El orgullo conduce a la destrucción. La humildad precede a la honra.
Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
13 Responder antes de escuchar es estupidez y vergüenza.
Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
14 Con un espíritu valiente podrás combatir la enfermedad, pero si tu espíritu está quebrantado, será imposible soportarla.
Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
15 Una mente inteligente adquiere conocimiento; los sabios están prestos para escuchar el conocimiento.
Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
16 Un don abrirá puertas para ti, y te llevará a la presencia de personas importantes.
Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
17 La primera persona en alegar un caso estará en lo correcto hasta que alguien llegue a examinarlos.
Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
18 Entre los poderosos echar suertes puede acabar una disputa y mostrar la decisión correcta.
Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
19 Un hermano a quien has ofendido será más difícil de reconquistar que una ciudad fortificada. Las peleas separan a las personas como barras en las puertas de un castillo.
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
20 Asegúrate de estar en paz con lo que dices, porque siempre tendrás que vivir con tus palabras.
Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
21 Tus palabras tienen el poder de traer vida o muerte; aquellos que disfrutan hablar mucho tendrán que vivir con las consecuencias.
Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
22 Si encuentras una esposa has hallado un bien, y serás bendecido por el Señor.
Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
23 Los pobres ruegan por misericordia, pero los ricos responden con dureza.
Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
24 Algunos amigos te abandonarán, pero hay un amigo que estará más cercano que un hermano.
Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.

< Proverbios 18 >