< Nehemías 7 >

1 Una vez reconstruida la muralla y levantadas las puertas, nombré a los porteros, a los cantores y a los levitas.
Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
2 Puse a mi hermano Hanani a cargo de Jerusalén, junto con Hananías, el comandante de la fortaleza, porque era un hombre honesto que respetaba a Dios más que muchos otros.
Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
3 Les dije: “No permitan que se abran las puertas de Jerusalén hasta que el sol esté caliente, y asegúrate de que los guardias cierren y echen el cerrojo a las puertas mientras estén de servicio. Nombra a algunos de los habitantes de Jerusalén como guardias, para que estén en sus puestos, frente a sus propias casas”.
Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
4 En aquellos tiempos la ciudad era grande y con mucho espacio, pero no había mucha gente en ella, y las casas no habían sido reconstruidas.
Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
5 Mi Dios me animó a que todos -los nobles, los funcionarios y el pueblo- vinieran a registrarse según su genealogía familiar. Encontré el registro genealógico de los que habían regresado primero. Esto es lo que descubrí escrito allí.
Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
6 Esta es una lista de la gente de la provincia que regresó del cautiverio. Estos eran los exiliados que habían sido llevados a Babilonia por el rey Nabucodonosor. Regresaron a Jerusalén y a Judá, a sus ciudades de origen.
Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
7 Estaban dirigidos por Zorobabel, Jesúa, Nehemías, Azarías, Raamías, Nahamani, Mardoqueo, Bilsán, Misperet, Bigvai, Nehum y Baana. Este es el número de hombres del pueblo de Israel:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
8 Los hijos de Paros, 2.172;
wazao wa Paroshi 2,172
9 los hijos de Sefatías, 372;
wazao wa Shefatia 372
10 los hijos de Ara, 652;
wazao wa Ara 652
11 los hijos de Pahat-moab, (los hijos de Jesúa y Joab), 2.818;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
12 los hijos de Elam, 1.254;
wazao wa Elamu 1,254
13 los hijos de Zatu, 845;
wazao wa Zatu 845
14 los hijos de Zacai, 760;
wazao wa Zakai 760
15 los hijos de Binui, 648;
wazao wa Binui 648
16 los hijos de Bebai, 628;
wazao wa Bebai 628
17 los hijos de Azgad, 2.322;
wazao wa Azgadi 2,322
18 los hijos de Adonicam, 667;
wazao wa Adonikamu 667
19 los hijos de Bigvai, 2.067.
wazao wa Bigwai 2,067
20 Los hijos de Adin, 655.
wazao wa Adini 655
21 Los hijos de Ater, (hijos de Ezequías), 98;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
22 los hijos de Hasum, 328;
wazao wa Hashumu 328
23 los hijos de Bezai, 324;
wazao wa Besai 324
24 los hijos de Harif, 112;
wazao wa Harifu 112
25 los hijos de Gabaón, 95;
wazao wa Gibeoni 95
26 el pueblo de Belén y Netofa, 188;
watu wa Bethlehemu na Netofa 188
27 el pueblo de Anatot, 128;
watu wa Anathothi 128
28 el pueblo de Bet-azmavet 42;
watu wa Beth-Azmawethi 42
29 el pueblo de Quiriat-jearim, Cafira y Beerot, 743;
watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
30 el pueblo de Ramá y Geba, 621;
watu wa Rama na Geba 621
31 el pueblo de Micmas, 122;
watu wa Mikmashi 122
32 el pueblo de Bet-el y Ai, 123;
watu wa Betheli na Ai 123
33 el pueblo del otro Nebo, 52;
watu wa Nebo 52
34 los hijos del otro Elam, 1.254;
wazao wa Elamu 1,254
35 los hijos de Harim, 320;
wazao wa Harimu 320
36 los hijos de Jericó, 345;
wazao wa Yeriko 345
37 los hijos de Lod, Hadid y Ono, 721;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
38 los hijos de Senaa, 3.930.
wazao wa Senaa 3,930
39 Este es el número de los sacerdotes: los hijos de Jedaías (por la familia de Jesúa), 973;
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 los hijos de Imer, 1.052;
wazao wa Imeri 1,052
41 los hijos de Pasur, 1.247;
wazao wa Pashuri 1,247
42 los hijos de Harim, 1.017.
wazao wa Harimu 1,017
43 Este es el número de los levitas: los hijos de Jesúa por Cadmiel (hijos de Hodavías), 74;
Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
44 los cantores de los hijos de Asaf, 148;
Waimbaji: wazao wa Asafu 148
45 los porteros de las familias de Salum, Ater, Talmón, Acub, Hatita y Sobai, 138.
Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
46 Los descendientes de estos servidores del Templo: Ziha, Hasufa, Tabaot,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
47 Queros, Sia, Padón,
wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
48 Lebana, Hagaba, Salmai,
wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
49 Hanán, Gidel, Gahar,
wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
50 Reaía, Rezín, Necoda,
wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
51 Gazam, Uza, Paseah,
wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
52 Besai, Mehunim, Nefusim,
wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
53 Bacbuc, Hacufa, Harhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
54 Bazlut, Mehída, Harsa,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
55 Barcos, Sísara, Tema,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
56 Nezía, y Hatifa.
wazao wa Nesia na Hatifa.
57 Los descendientes de los siervos del rey Salomón: Sotai, Soferet, Perida,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
58 Jaala, Darcón, Gidel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
59 Sefatías, Hatil, Poqueret-hazebaim y Amón.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
60 El total de los siervos del Templo y de los descendientes de los siervos de Salomón era de 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
61 Los que procedían de las ciudades de Tel-mela, Tel-Harsa, Querub, Addán e Imer no podían demostrar su genealogía familiar, ni siquiera que eran descendientes de Israel.
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
62 Entre ellos estaban las familias de Delaía, Tobías y Necoda, 642 en total.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
63 Además había tres familias sacerdotales, hijos de Habaía, Cos y Barzilai. (Barzilai se había casado con una mujer descendiente de Barzilai de Galaad, y se llamaba por ese nombre).
Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
64 Se buscó un registro de ellos en las genealogías, pero no se encontraron sus nombres, por lo que se les prohibió servir como sacerdotes.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
65 El gobernador les ordenó que no comieran nada de los sacrificios del santuario hasta que un sacerdote pudiera preguntar al Señor sobre el asunto utilizando el Urim y el Tumim.
Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
66 El total de personas que regresaron fue de 42.360.
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
67 Además había 7.337 sirvientes y 245 cantores y cantoras.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
68 Tenían 736 caballos, 245 mulas,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
69 435 camellos y 6.720 burros.
ngamia 435 na punda 6,720.
70 Algunos de los jefes de familia hicieron contribuciones voluntarias para el trabajo. El gobernador entregó a la tesorería 1.000 dáricos de oro, 50 cuencos y 530 conjuntos de ropa para los sacerdotes.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
71 Algunos de los jefes de familia donaron al tesoro para la obra 20.000 dáricos de oro y 2.200 minas de plata.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
72 El resto del pueblo donó 20.000 dáricos de oro, 2.000 minas de plata y 67 conjuntos de ropa para los sacerdotes.
Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
73 Los sacerdotes, los levitas, los porteros, los cantores y los servidores del Templo, así como parte del pueblo y el resto de los israelitas, volvieron a vivir en sus pueblos específicos. En el séptimo mes los israelitas vivían en sus pueblos,
Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,

< Nehemías 7 >