< Nehemías 11 >
1 Los líderes del pueblo ya vivían en Jerusalén. El resto del pueblo echó suertes para que uno de cada diez viniera a vivir a Jerusalén, la ciudad santa, mientras que los otros nueve se quedarían en sus propias ciudades.
Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
2 Todos alabaron a los que estaban dispuestos a trasladarse a Jerusalén.
Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
3 Esta es una lista de los líderes de la provincia que vinieron a vivir a Jerusalén. (La mayoría de los israelitas vivían en su propia propiedad en las ciudades de Judá. Esto incluía a los sacerdotes, los levitas, los servidores del Templo y los descendientes de los servidores de Salomón que vivían en sus ciudades de origen.
Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
4 Sin embargo, algunos de los habitantes de Judá y Benjamín se trasladaron a Jerusalén). De la tribu de Judá Ataías, hijo de Uzías, hijo de Zacarías, hijo de Amarías, hijo de Sefatías, hijo de Mahalalel, de los hijos de Fares;
Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
5 y Maasías, hijo de Baruc, hijo de Colhoze, hijo de Hazaías, hijo de Adaía, hijo de Joiarib, hijo de Zacarías, descendiente de Sela.
Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
6 El total de los hijos de Fares que vivieron en Jerusalén fue de 468 hombres hábiles.
Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
7 De la tribu de Benjamín: Salú, hijo de Mesulam, hijo de Joed, hijo de Pedaías, hijo de Colaías, hijo de Itiel, hijo de Jesaías,
Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
8 y después de él Gabbai y Salai, en total 928.
Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
9 Joel hijo de Zicri era el oficial a cargo de ellos, y Judá hijo de Senúa era el segundo al mando de la ciudad.
Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
10 De los sacerdotes Jedaías, hijo de Joiarib, Jaquín;
Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
11 Seraías, hijo de Hilcías, hijo de Mesulam, hijo de Sadoc, hijo de Meraiot, hijo de Ajitub, administrador principal del Templo de Dios,
Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
12 y sus compañeros sacerdotes que servían en el Templo, un total de 822; Adaía hijo de Jeroham, hijo de Pelaliah, hijo de Amzi, hijo de Zacarías, hijo de Pasur, hijo de Malquías,
na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
13 y los que trabajaban con él, jefes de familia, un total de 242; y Amasai, hijo de Azarel, hijo de Ahzai, hijo de Mesilemot, hijo de Imer,
Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
14 y los que trabajaban con él, un total de 128 guerreros fuertes. Zabdiel, hijo de Gedolim, estaba a cargo de ellos.
na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
15 De los levitas Semaías, hijo de Hasub, hijo de Azricam, hijo de Hasabías, hijo de Buni;
Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
16 y Sabetai y Jozabad, líderes levitas que estaban a cargo de los trabajos exteriores del Templo de Dios;
na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
17 Matanías, hijo de Mica, hijo de Zabdi, hijo de Asaf, que dirigía la acción de gracias y la alabanza; y Bacbuqías, que era el segundo; y Abda, hijo de Samúa, hijo de Galal, hijo de Jedutún.
Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18 El número total de sacerdotes en la ciudad santa era de 284.
Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
19 Los porteros: Acub, Talmón y sus compañeros, que custodiaban las puertas: un total de 172.
Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
20 Los demás israelitas, con el resto de los sacerdotes y levitas, vivían en sus ciudades de origen en Judá, cada uno en su propia propiedad.
Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
21 Los servidores del Templo vivían en la colina de Ofel. Ziha y Gispa estaban a cargo de ellos.
Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
22 El que estaba a cargo de los levitas en Jerusalén era Uzi, hijo de Bani, hijo de Hasabías, hijo de Matanías, hijo de Mica, uno de los descendientes de Asaf, los cantores que dirigían el servicio en el Templo de Dios.
Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
23 Tenían órdenes específicas del rey que les había ordenado realizar un servicio diario.
Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
24 Petaías, hijo de Mesezabeel, descendiente de Zera, hijo de Judá, era el consejero del rey en todo lo relacionado con los israelitas.
Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
25 En cuanto a las aldeas con sus campos cercanos algunos de los habitantes de Judá vivían en Quiriat-arba, Dibón y Jekabzeel, y sus asentamientos menores;
Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
26 en Jesúa, Molada y Bet-pelet;
Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
27 en Hazar-sual, en Beerseba con sus asentamientos,
Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
28 en Ziclag, en Mecona y sus asentamientos,
Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
29 en En-rimón, en Zora, en Jarmut,
Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
30 Zanoa, Adulam y sus aldeas, Laquis y sus campos, y Azeca y sus asentamientos. Vivían desde Beerseba hasta el Valle de Hinom.
Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
31 El pueblo de Benjamín, desde Geba, vivía en Micmas, Aija y Bet-el y sus asentamientos,
Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
32 en Anatot, Nob, Ananías,
Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
34 Hadid, Zeboim, Nebalat,
Hadidi, Seboimu, Nebalati,
35 Lod, Ono y en el Valle de los Artesanos.
Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
36 Algunas divisiones de los levitas de Judá también se establecieron en Benjamín.
Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.