< Job 17 >
1 “Mi espíritu está aplastado; mi vida se ha extinguido; la tumba está lista para mí.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 Los burladores me rodean. Veo cómo me ridiculizan amargamente.
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Dios, tienes que ofrecer por mí una garantía contigo mismo, pues ¿quién más será mi garante?
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 Has cerrado sus mentes al entendimiento, ¡así que no les dejes ganar!
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 Traicionan a los amigos para beneficiarse ellos mismos y sus hijos sufren por ello.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 Me han convertido en un proverbio de burla entre el pueblo; me escupen en la cara.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Mis ojos están agotados de tanto llorar y mi cuerpo es una sombra de lo que fue.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 La gente que se cree buena se escandaliza al verme. Los que son inocentes se sienten turbados por los impíos.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 Los que tienen razón prosperan, y los que tienen las manos limpias se hacen cada vez más fuertes.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 “¿Por qué no vuelves a repetir lo que has dicho?
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 Mi vida ha terminado. Mis planes han desaparecido. Mi corazón está roto.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Convierten la noche en día, y dicen que la luz del día se acerca a la oscuridad.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 ¿Qué es lo que busco? Hacer mi hogar en el Seol, para hacer mi cama en la oscuridad? (Sheol )
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
14 ¿Debo considerar a la tumba como mi padre, y al gusano como mi madre o como mi hermana?
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Entonces, ¿dónde está mi esperanza? ¿Puede alguien ver alguna esperanza para mí?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 ¿Descenderá la esperanza conmigo hasta las puertas del Seol? ¿Bajaremos juntos al polvo?” (Sheol )
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )