< Esdras 2 >

1 Esta es una lista de los exiliados judíos de la provincia que regresaron del cautiverio después de que el rey Nabucodonosor se los llevara a Babilonia. Volvieron a Jerusalén y a sus propias ciudades en Judá.
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 Sus líderes eran Zorobabel, Jesúa, Nehemías, Seraías, Reelaías, Mardoqueo, Bilsán, Mispar, Bigvai, Rehum y Baana. Este es el número de los hombres del pueblo de Israel:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 los hijos de Paros, 2.172;
Waporoshi: 2, 172
4 los hijos de Sefatías, 372;
Wana wa Shefatia: 372
5 los hijos de Ara, 775;
Wana wa Ara: 775.
6 los hijos de Pahat-moab (hijos de Jesúa y Joab), 2.812;
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 los hijos de Elam, 1.254;
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 los hijos de Zatu, 945;
Wana wa Zatu: 945.
9 los hijos de Zacai, 760;
Wana wa Zakai: 760.
10 los hijos de Bani, 642;
Wana wa Binui: 642.
11 los hijos de Bebai, 623
Wana wa Bebai: 623.
12 los hijos de Azgad, 1.222;
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 los hijos de Adonicam, 666;
Wana wa Adonikamu: 666.
14 los hijos de Bigvai, 2.056;
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 los hijos de Adin, 454;
Wana wa Adini: 454.
16 los hijos de Ater, (hijos de Ezequías), 98;
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 los hijos de Bezai, 323;
Wana wa Besai: 323.
18 los hijos de Jora, 112;
Wana wa Harifu: 112.
19 los hijos de Hasum, 223;
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 los hijos de Gibar, 95;
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 el pueblo de Belén, 123;
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 el pueblo de Netofa, 56;
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 el pueblo de Anatot, 128;
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 el pueblo de Bet-azmavet, 42;
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 el pueblo de Quiriat-jearim, Cafira y Beerot, 743;
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 el pueblo de Ramá y Geba, 621;
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 el pueblo de Micmas, 122
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 el pueblo de Betel y de Hai, 223;
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 los hijos de Nebo, 52;
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 los hijos de Magbis, 156;
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 los hijos de Elam, 1.254;
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 los hijos de Harim, 320;
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 los hijos de Lod, Hadid y Ono, 725;
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 los hijos de Jericó, 345;
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 los hijos de Senaa, 3.630.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 Este es el número de los sacerdotes: los hijos de Jedaías (por la familia de Jesúa), 973;
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 los hijos de Imer, 1.052;
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 los hijos de Pasur, 1.247;
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 los hijos de Harim, 1.017.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 Este es el número de los levitas: los hijos de Jesúa y Cadmiel (hijos de Hodavías), 74;
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 los cantores de los hijos de Asaf, 128;
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 los porteros de las familias de Salum, Ater, Talmón, Acub, Hatita y Sobai, 139.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 Los descendientes de estos servidores del Templo: Ziha, Hasufa, Tabaot,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 Queros, Siaha, Padón,
Keros, Siaha, Padoni.
45 Lebana, Hagaba, Acub,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 Hagab, Salmai, Hanán,
Hagabu, Salmai, Hanani
47 Gidel, Gahar, Reaía,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 Rezín, Necoda, Gazam,
Resini, Nekoda, Gazamu,
49 Uza, Paseah, Besai,
Uza, Pasea, Besai,
50 Asena, Mehunim, Nefusim,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 Bacbuc, Hacufa, Harhur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 Bazlut, Mehída, Harsa,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 Barcos, Sísara, Tema,
Barkosi, Sisera, Tema:
54 Nezía, y Hatifa.
Nesia, Tefa
55 Los descendientes de los siervos del rey Salomón: Sotai, Hasoferet, Peruda,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 Jaala, Darcón, Gidel,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 Sefatías, Hatil, Poqueret-hazebaim, y Ami.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 El total de los siervos del Templo y de los descendientes de los siervos de Salomón era de 392.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 Los que procedían de las ciudades de Tel-mela, Tel-Harsa, Querub, Addán e Imer no podían demostrar su genealogía familiar, ni siquiera que eran descendientes de Israel.
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 Entre ellos estaban las familias de Delaía, Tobías y Necoda, 652 en total.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 Además había tres familias sacerdotales, hijos de Habaía, Cos y Barzilai. (Barzilai se había casado con una mujer que descendía de Barzilai de Galaad, y se llamaba así).
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 Se buscó un registro de ellos en las genealogías, pero no se encontraron sus nombres, por lo que se les prohibió servir como sacerdotes.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 El gobernador les ordenó que no comieran nada de los sacrificios del santuario hasta que un sacerdote pudiera consular con el Señor sobre el asunto a través del Urim y el Tumim.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 El total de personas que regresaron fue de 42.360.
Jumla ya kundi 42, 360,
65 Además había 7.337 sirvientes y 200 cantores y cantoras.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Tenían 736 caballos, 245 mulas,
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 435 camellos y 6.720 asnos.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 Cuando llegaron al Templo del Señor en Jerusalén, algunos de los jefes de familia hicieron contribuciones voluntarias para reconstruir el Templo de Dios en el lugar donde antes estaba.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 Dieron según lo que tenían, poniendo su donativo en el tesoro. El total ascendió a 61.000 dáricos de oro, 5.000 minas de plata y 100 túnicas para los sacerdotes.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 Los sacerdotes, los levitas, los cantores, los porteros y los servidores del Templo, así como parte del pueblo, volvieron a vivir en sus pueblos específicos. Los demás regresaron a sus propias ciudades en todo Israel.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.

< Esdras 2 >