< Esdras 2 >

1 Esta es una lista de los exiliados judíos de la provincia que regresaron del cautiverio después de que el rey Nabucodonosor se los llevara a Babilonia. Volvieron a Jerusalén y a sus propias ciudades en Judá.
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 Sus líderes eran Zorobabel, Jesúa, Nehemías, Seraías, Reelaías, Mardoqueo, Bilsán, Mispar, Bigvai, Rehum y Baana. Este es el número de los hombres del pueblo de Israel:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 los hijos de Paros, 2.172;
wazao wa Paroshi 2,172
4 los hijos de Sefatías, 372;
wazao wa Shefatia 372
5 los hijos de Ara, 775;
wazao wa Ara 775
6 los hijos de Pahat-moab (hijos de Jesúa y Joab), 2.812;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7 los hijos de Elam, 1.254;
wazao wa Elamu 1,254
8 los hijos de Zatu, 945;
wazao wa Zatu 945
9 los hijos de Zacai, 760;
wazao wa Zakai 760
10 los hijos de Bani, 642;
wazao wa Bani 642
11 los hijos de Bebai, 623
wazao wa Bebai 623
12 los hijos de Azgad, 1.222;
wazao wa Azgadi 1,222
13 los hijos de Adonicam, 666;
wazao wa Adonikamu 666
14 los hijos de Bigvai, 2.056;
wazao wa Bigwai 2,056
15 los hijos de Adin, 454;
wazao wa Adini 454
16 los hijos de Ater, (hijos de Ezequías), 98;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 los hijos de Bezai, 323;
wazao wa Besai 323
18 los hijos de Jora, 112;
wazao wa Yora 112
19 los hijos de Hasum, 223;
wazao wa Hashumu 223
20 los hijos de Gibar, 95;
wazao wa Gibari 95
21 el pueblo de Belén, 123;
watu wa Bethlehemu 123
22 el pueblo de Netofa, 56;
watu wa Netofa 56
23 el pueblo de Anatot, 128;
watu wa Anathothi 128
24 el pueblo de Bet-azmavet, 42;
watu wa Azmawethi 42
25 el pueblo de Quiriat-jearim, Cafira y Beerot, 743;
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 el pueblo de Ramá y Geba, 621;
wazao wa Rama na Geba 621
27 el pueblo de Micmas, 122
watu wa Mikmashi 122
28 el pueblo de Betel y de Hai, 223;
watu wa Betheli na Ai 223
29 los hijos de Nebo, 52;
wazao wa Nebo 52
30 los hijos de Magbis, 156;
wazao wa Magbishi 156
31 los hijos de Elam, 1.254;
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 los hijos de Harim, 320;
wazao wa Harimu 320
33 los hijos de Lod, Hadid y Ono, 725;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 los hijos de Jericó, 345;
wazao wa Yeriko 345
35 los hijos de Senaa, 3.630.
wazao wa Senaa 3,630
36 Este es el número de los sacerdotes: los hijos de Jedaías (por la familia de Jesúa), 973;
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 los hijos de Imer, 1.052;
wazao wa Imeri 1,052
38 los hijos de Pasur, 1.247;
wazao wa Pashuri 1,247
39 los hijos de Harim, 1.017.
wazao wa Harimu 1,017
40 Este es el número de los levitas: los hijos de Jesúa y Cadmiel (hijos de Hodavías), 74;
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 los cantores de los hijos de Asaf, 128;
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 los porteros de las familias de Salum, Ater, Talmón, Acub, Hatita y Sobai, 139.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 Los descendientes de estos servidores del Templo: Ziha, Hasufa, Tabaot,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 Queros, Siaha, Padón,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 Lebana, Hagaba, Acub,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 Hagab, Salmai, Hanán,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 Gidel, Gahar, Reaía,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 Rezín, Necoda, Gazam,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 Uza, Paseah, Besai,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 Asena, Mehunim, Nefusim,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 Bacbuc, Hacufa, Harhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 Bazlut, Mehída, Harsa,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 Barcos, Sísara, Tema,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 Nezía, y Hatifa.
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 Los descendientes de los siervos del rey Salomón: Sotai, Hasoferet, Peruda,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 Jaala, Darcón, Gidel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 Sefatías, Hatil, Poqueret-hazebaim, y Ami.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 El total de los siervos del Templo y de los descendientes de los siervos de Salomón era de 392.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 Los que procedían de las ciudades de Tel-mela, Tel-Harsa, Querub, Addán e Imer no podían demostrar su genealogía familiar, ni siquiera que eran descendientes de Israel.
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 Entre ellos estaban las familias de Delaía, Tobías y Necoda, 652 en total.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 Además había tres familias sacerdotales, hijos de Habaía, Cos y Barzilai. (Barzilai se había casado con una mujer que descendía de Barzilai de Galaad, y se llamaba así).
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 Se buscó un registro de ellos en las genealogías, pero no se encontraron sus nombres, por lo que se les prohibió servir como sacerdotes.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 El gobernador les ordenó que no comieran nada de los sacrificios del santuario hasta que un sacerdote pudiera consular con el Señor sobre el asunto a través del Urim y el Tumim.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 El total de personas que regresaron fue de 42.360.
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 Además había 7.337 sirvientes y 200 cantores y cantoras.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Tenían 736 caballos, 245 mulas,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 435 camellos y 6.720 asnos.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 Cuando llegaron al Templo del Señor en Jerusalén, algunos de los jefes de familia hicieron contribuciones voluntarias para reconstruir el Templo de Dios en el lugar donde antes estaba.
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 Dieron según lo que tenían, poniendo su donativo en el tesoro. El total ascendió a 61.000 dáricos de oro, 5.000 minas de plata y 100 túnicas para los sacerdotes.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 Los sacerdotes, los levitas, los cantores, los porteros y los servidores del Templo, así como parte del pueblo, volvieron a vivir en sus pueblos específicos. Los demás regresaron a sus propias ciudades en todo Israel.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

< Esdras 2 >