< Éxodo 21 >
1 “Estos son los reglamentos que debe presentarles:
Sasa hizi ni amri utakazoweka kabla yao:
2 “Si compran un esclavo hebreo, debe trabajar para ustedes durante seis años. Pero en el séptimo año, debe ser liberado sin tener que pagar nada.
'kama mtanunua mtumishi wa kiebrania, atatumikia kwa miaka sita, na mwaka wa saba ataachiwa huru bila kilipwa chochote.
3 Si era soltero cuando llegó, debe irse soltero. Si tenía una esposa cuando llegó, ella debe irse con él.
Kama alikuja mwenyewe, ataenda huru kwa ridhaa yake;
4 Si su amo le da una esposa y ella tiene hijos con él, la mujer y sus hijos pertenecerán a su amo, y sólo el hombre será liberado.
kama bwana wake atampa mke na kumzalia mwana na binti, mke pamoja na watoto wake watabaki mali ya bwana wake, na ataenda zake huru.
5 “Sin embargo, si el esclavo declara formalmente: ‘Amo a mi señor, a mi esposa y a mis hijos; no quiero ser liberado’
Lakini kama mtumishi atasema waziwazi, “Nampenda bwana wangu, mke wangu, na watoto; sitaenda nje,”
6 entonces su señor lo llevará ante los jueces. Luego lo pondrá de pie contra la puerta o el poste de la puerta y usará una herramienta de metal para hacerle un agujero en la oreja. Entonces trabajará para su amo de por vida.
“kisha bwana wake atapaswa kumleta kwa Mungu. Bwana wake atapaswa kumleta katika mlango au katika muhimili wa mlango, na bwana wake atatoboa sikio lake na sindano. Kisha mtumishi wake atamtumikia kwa maisha yake yote.
7 “Si un hombre vende a su hija como esclava, no será liberada de la misma manera que los esclavos.
Kama mwanaume ata muuza binti wake kama mtumishi wa kike, ata weza kwenda huru kama watumishi wa kiume wanavyo enda.
8 Si el hombre que la eligió para sí no está satisfecho con ella, debe dejar que sea comprada de nuevo. No podrá venderla a los extranjeros, ya que ha sido injusto con ella.
Kama hamridhishi bwana wake, aliye mtenga kwa ajili yake, kisha lazima amnunue tena. Hana ruhusa ya kumuuza kwa watu wengine wa kigeni. Hana ruhusa hiyo, sababu amemtendea kwa hila.
9 Si decide dársela a su hijo, debe tratarla como a una hija.
Ikiwa bwana wake atamposa awe mke wa mwanae, atamtendea kama desturi zipasavyo sawa na binti zake.
10 Si toma a otra mujer, no debe reducir los subsidios de comida y ropa, ni los derechos maritales de la primera.
Ikiwa atajitwalia mke mwingine, asimpunguzie huyo chakula chake, nguo na haki zake za unyumba.
11 Si no le da estas tres cosas, ella es libre de irse sin pagar nada.
Lakini asipofanyiwa mambo haya matatu, basi anaweza kwenda bure pasipo kutolewa mali.
12 “Todo aquel que golpee y mate a otra persona debe ser ejecutado.
Mtu awaye yote ampigaye mtu hata akafa, inampasa mtu huyo auawe pia.
13 Sin embargo, si no fue intencional y Dios permitió que sucediera, entonces arreglaré un lugar para ustedes donde puedan correr y estar seguros.
Lakini kama hakumvizia, ila kwa bahati mbaya, basi nitamfanyia mahali pa kukimbilia.
14 Pero si alguien planea deliberadamente y mata a propósito a otro, debe alejarlo de mi altar y ejecutarlo.
Lakini mtu akimwendea mwenzake kwa kujikinai, kusudi apate kumwua kwa hila; huyo utamwondoa hata kama ni madhabahuni pangu, ili auawe.
15 “Cualquiera que golpee a su padre o madre debe ser ejecutado.
Yeyote atakaye mpiga baba au mama yake lazima auawe.
16 Cualquiera que secuestre a alguien más debe ser ejecutado, ya sea que la víctima sea vendida o que aún esté en su posesión.
Yeyote atakaye mteka mtu na kumuuza, au mtu amekutwa kama mali yake, huyo mtekaji lazima auawe.
17 “Cualquiera que desprecie a su padre o a su madre debe ser ejecutado.
Yeyote atakaye mlaani baba au mama yake lazima auawe.
18 “Si los hombres están peleando y uno golpea al otro con una piedra o con el puño, y el hombre herido no muere pero tiene que permanecer en cama,
Kama wanaume watapigana na mmoja akimpiga mwengine kwa jiwe au ngumi, na huyo mtu asife, lakini alazwe kitandani;
19 y luego se levanta y camina afuera con su bastón, entonces el que lo golpeó no será castigado. Aún así, debe compensar al hombre por el tiempo perdido de su trabajo y asegurarse de que esté completamente curado.
kisha akapona na anaweza kutembea kwa gongo lake, yeye aliye mpiga lazima alipe muda aliye mpotezea; na lazima alipe matibabu yake yote. Lakini huyo mtu hana hatia ya mauaji.
20 “Cualquiera que golpee a su esclavo o esclava con una vara, y el esclavo muera como resultado, debe ser castigado.
Kama mwanaume akimpiga mtumishi wake wa kiume au wa kike kwa gongo, na kama mtumishi huyo akifa kwa madhara ya pigo, kisha huyo mtu lazima ahadhibiwe.
21 Sin embargo, si después de un día o dos el esclavo mejora, el dueño no será castigado porque el esclavo es de su propiedad.
Walakini, mtumishi huyo akiishi siku moja au mbili, bwana aruhusiwi kuadhibiwa, kwa kuwa atateseka kupoteza mtumishi huyo.
22 “Si los hombres que están peleando golpean a una mujer embarazada para que dé a luz prematuramente, pero no se produce ninguna lesión grave, debe ser multado con la cantidad que el marido de la mujer demande y según lo permitan los jueces.
Kama wanaume wakipigana pamoja na wakamuumiza wanamke mwenye mimba na kuiharibu, lakini hakuna majeraha mengine kwake, kisha huyo mwanaume mwenye hatia lazima alipe kama mme wa mwanamke anavyo taka kwake, na kulipa kama hakimu anavyo kusudia.
23 Pero si se produce una lesión grave, entonces debe pagar una vida por otra vida;
Lakini kama kuna majeraha makubwa, lazima utoe uhai kwa uhai, jicho kwa jicho,
24 ojo por ojo, diente por diente, mano por mano, pie por pie,
jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,
25 quemadura por quemadura, herida por herida y moretón por moretón.
kuchoma kwa kuchoma, jeraha kwa jeraha, au mkwaruzo kwa mkwaruzo.
26 “El que golpee a su esclavo o esclava en el ojo y lo ciegue, debe liberar al esclavo como compensación por el ojo.
Kama mwanaume akipiga jicho la mtumishi wake kiume au mtumishi wake wa kike na kuliharibu, kisha lazima amuache mtumishi aende pasipo fidia ya jicho.
27 El que golpee el diente de su esclavo o esclava debe liberar al esclavo como compensación por el diente.
Kama akitoa jino la mtumishi wake wa kiume au mtumishi wake wa kike, lazima amuache mtumishi kwenda huru kama fidia ya jino.
28 “Si un buey usa sus cuernos para matar a un hombre o una mujer, el buey debe ser apedreado hasta morir, y su carne no debe ser comida. Pero el dueño del buey no será castigado.
Kama ng'ombe akimpiga mwanaume au mwanamke akafa, ng'ombe lazima apigwe mawe, na nyama yake hairuhusiwi kuliwa; lakini mmiliki wa ng'ombe lazima awe huru kwa hatia.
29 Pero si el buey ha herido repetidamente a la gente con sus cuernos, y su dueño ha sido advertido pero aún no lo tiene bajo control, y mata a un hombre o una mujer, entonces el buey debe ser apedreado hasta morir y su dueño también debe ser ejecutado.
Lakini kama ng'ombe alikuwa na tabia ya kupiga hapo awali, na mmiliki wake alionywa lakini hakumzuia, na ng'ombe ameua mwanaume au mwanamke, huyo ng'ombe lazima apigwe mawe, na mmiliki wake lazima auawe pia.
30 Pero si en lugar de ello se exige el pago de una indemnización, el propietario puede compensar su vida pagando la totalidad de la indemnización exigida.
Kama malipo ya uhai yanaitajika, lazima alipe chochote anachotakiwa kulipa.
31 Pero si en lugar de ello se exige el pago de una indemnización, el propietario puede salvar su vida pagando la totalidad de la indemnización exigida.
Kama ng'ombe amempiga mwana wa mwanaume au binti wake, mmiliki wa ng'ombe anapaswa kufanya kama masharti yanavyo mlazimu.
32 Si el buey usa sus cuernos y mata a un esclavo o esclava, el propietario del buey debe pagar treinta siclos de plata al amo del esclavo, y el buey debe ser apedreado hasta la muerte.
Kama ng'ombe akimpiga mtumishi wa kiume au wakike, mmiliki wa ngombe lazima alipe shekeli thelathini za fedha, na ng'ombe lazima apigwe mawe.
33 “Si alguien quita la tapa de una cisterna o cava una y no la cubre, y un buey o un asno cae en ella,
Kama mwanaume akifungua shimo, au kama mwanume akichimba shimo na asifunike, na ng'ombe au punda akaanguka ndani,
34 el dueño de la fosa debe pagar una compensación al dueño del animal y quedarse con el animal muerto.
mmiliki wa shimo lazima alipe madhara. Lazima atoe hela kwa mmiliki wa mnyama aliye kufa, na mnyama aliye kufa atakuwa wake.
35 “Si el buey de alguien hiere al de otro y éste muere, debe vender al buey vivo y compartir el dinero recibido; también debe compartir al animal muerto.
Kama ng'ombe wa mwanaume akimuumiza ng'ombe wa mwanume mwengine hadi kufa, kisha lazima wamuuze ng'ombe aliye hai na kugawana gharama, na pia lazima wagawane ng'ombe aliye kufa.
36 Pero si se sabe que el buey ha herido repetidamente a personas con sus cuernos, y su dueño ha sido advertido pero aún no lo tiene bajo control, debe pagar una compensación completa, buey por buey; pero el dueño puede quedarse con el animal muerto”.
Lakini kama ilijulikana kama ng'ombe alikuwa na tabia ya kupiga hapo awali, na mmiliki wake hakumfunga ndani, hakika lazima alipe ng'ombe kwa ng'ombe, na mnyama aliye kufa atakuwa wake.