< 1 Crónicas 1 >

1 Adán, Set, Enós,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Quenán, Malalel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoc, Matusalén, Lamec, Noé.
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Los hijos de Noé: Sem, Cam, y Jafet.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Los hijos de Jafet: Gómer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mésec, and Tirás.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Los hijos de Gomer: Asquenaz, Rifat, y Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Los hijos de Javán: Elisá, Tarsis, Quitín, Rodanín.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Los hijos de Cam: Cus, Mizrayin, Fut, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Los hijos de Cus: Seba, Javilá, Sabta, Ragama y Sabteca. Los hijos de Ragama: Sabá y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Cus fue el padre de Nimrod, que se convirtió en el primer tirano del mundo.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Mizrayin fue el padre de los ludeos, anameos, leabitas, naftuitas,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 patruseos, caslujitas y los caftoritas (quienes eran antepasados de los filisteos).
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Canaán fue el padre Sidón, su primogénito, y de los hititas,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 jebuseos, amorreos, gergeseos,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 heveos, araceos, sineos,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 arvadeos, zemareos y jamatitas.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud y Harán. Los hijos de Harán: Uz, Hul, Guéter, y Mésec.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Arfaxad fue el padre de Selá, y Selá el padre de Éber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Éber tuvo dos hijos. Uno se llamaba Peleg, porque en su tiempo la tierra fue dividida; el nombre de su hermano fue Joctán.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Joctán fue el padre de Almodad, Sélef, Jazar Mávet, Yeraj,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Adoram, Uzal, Diclá,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obal, Abimael, Sabá,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Javilá y Jobab. Todos estos fueron hijos de Joctán.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Sem, Arfaxad, Selá,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Éber, Peleg, Reú,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nacor, Téraj,
Serugi, Nahori, Tera,
27 y Abram (también llamado Abraham).
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Estos fueron sus descendientes: Nebayot, quien fue el hijo primogénito de Ismael, Cedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Mismá, Dumá, Masá, Hadad, Temá,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafis y Cedema. Estos fueron los hijos de Ismael.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Los hijos que le nacieron a Cetura, la concubina de Abraham. Ella dio a luz a: Zimrán, Jocsán, Medán, Madián, Isbac y Súah. Los hijos de Jocsán: Sabá y Dedán.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Los hijos de Madián: Efá, Éfer, Janoc, Abidá y Eldá. Todos ellos fueron descendientes de Cetura.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Abraham fue el padre de Isaac. Los hijos de Isaac fueron Esaú e Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jalán y Coré.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Los hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefo, Gatán y Quenaz; además Amalec por medio de Timná.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Los hijos de Reuel: Najat, Zera, Sama y Mizá.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Los hijos de Seír: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer y Disán.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Los hijos de Lotán: Horí y Homán. La hermana de Lotán era Timná.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Los hijos de Sobal: Alván, Manajat, Ebal, Sefó y Onam. Los hijos de Zibeón: Aja y Aná.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 El hijo de Aná fue Disón. Los hijos de Dishón fueron Hemdán, Esbán, Itrán y Querán.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Los hijos de Ezer: Bilán, Zaván y Acán. Los hijos de Disán: Uz y Arán.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Estos fueron los reyes que reinaron sobre Edom antes de que cualquier rey israelita reinara sobre ellos: Bela hijo de Beor, cuya ciudad se llamaba Dinaba.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Cuando murió Bela, Jobab hijo de Zera, proveniente de Bosra, asumió el reinado.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Tras la muerte de Jobab, Husam asumió el reinado entonces, y era proveniente de la tierra de los Temanitas.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Cuando murió Husam, Hadad, hijo de Bedad, asumió el reinado. Él fue quien derrotó a Madián en el país de Moab. El nombre de su ciudad era Avit.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Cuando murió Hadad, Samá, de Masreca, asumió el reinado.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Cuando murió Samá, Saúl, proveniente de Rehobot del río asumió el reinado.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Cuando murió Saúl, Baal-Hanán, hijo de Acbor, asumió el reinado.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Cuando Baal-Hanán murió, Hadad reinó en su lugar. El nombre de su ciudad era Pau. El nombre de su esposa era Mehetabel, hija de Matred, nieta de Me-Zahab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Entonces murió Hadad. Los jefes de Edom eran: Timná, Alva, Jetet,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Aholibama, Ela, Pinón,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Quenaz, Temán, Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel, e Iram. Estos eran los jefes de Edom.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Crónicas 1 >