< 1 Crónicas 3 >

1 Estos fueron los hijos de David que le nacieron en Hebrón: El primogénito fue Amnón, cuya madre fue Ahinoam de Jezreel. El segundo fue Daniel, cuya madre fue Abigail de Carmelo.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 El tercero fue Absalón, cuya madre fue Maaca, hija de Talmai, rey de Gesur. El cuarto fue Adonías, cuya madre fue Haguit.
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 El quinto fue Sefatías, cuya madre fue Abital. El sexto fue Itream, cuya madre fue Egla, esposa de David.
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 Esos fueron los seis hijos que le nacieron a David en Hebrón, donde reinó siete años y seis meses. David reinó en Jerusalén treinta y tres años más,
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
5 y estos fueron los hijos que le nacieron allí: Samúa, Sobab, Natán y Salomón. La madre de ellos fue Betsabé, hija de Ammiel.
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6 Además estaban también Ibhar, Elisúa, Elifelet,
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7 Noga, Nefeg, Jafía,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 Elisama, Eliada y Elifelet, un total de nueve.
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9 Todos estos fueron los hijos de David, aparte de sus hijos de sus concubinas. Su hermana era Tamar.
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
10 El linaje masculino desde Salomón fue: Roboam, Abías, Asa,
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
11 Joram, Ocozías, Joás,
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
12 Amasías, Azarías, Jotam,
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
13 Acaz, Ezequías, Manasés,
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
14 Amón, Josías.
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15 Los hijos de Josías: Johanán (primogénito), Joaquín (el segundo), Sedequías (el tercero), y Salum (el cuarto).
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
16 Los hijos de Joacim: Joaquín y Sedecías.
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
17 Los hijos de Joaquín que fueron llevados al cautiverio: Sealtiel,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
18 Malquiram, Pedaías, Senaza, Jecamías, Hosama y Nedabías.
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 Los hijos de Pedaías: Zorobabel y Simei. Los hijos de Zorobabel: Mesulam y Hananías. Su hermana era Selomit.
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20 Otros cinco hijos fueron: Hasuba, Ohel, Berequías, Hasadías y Jushab-Hesed.
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
21 Los hijos de Hananías: Pelatías y Jesaías, y Los hijos de Refaías, Los hijos de Arnán, Los hijos de Abdías, y Los hijos de Secanías.
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
22 Los hijos de Secanías: Semaías y sus hijos: Hatús, Igal, Barías, Nearías y Safat. En total eran seis.
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
23 Los hijos de Nearías: Elioenai, Ezequías y Azricam. Eran tres en total.
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
24 Los hijos de Elioenai: Hodavías, Eliasib, Pelaías, Acub, Johanán, Dalaías, y Anani. En total eran un total de siete.
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

< 1 Crónicas 3 >