< 1 Crónicas 1 >

1 Adán, Set, Enós,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Quenán, Malalel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoc, Matusalén, Lamec, Noé.
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Los hijos de Noé: Sem, Cam, y Jafet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Los hijos de Jafet: Gómer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mésec, and Tirás.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Los hijos de Gomer: Asquenaz, Rifat, y Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Los hijos de Javán: Elisá, Tarsis, Quitín, Rodanín.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Los hijos de Cam: Cus, Mizrayin, Fut, y Canaán.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Los hijos de Cus: Seba, Javilá, Sabta, Ragama y Sabteca. Los hijos de Ragama: Sabá y Dedán.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Cus fue el padre de Nimrod, que se convirtió en el primer tirano del mundo.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Mizrayin fue el padre de los ludeos, anameos, leabitas, naftuitas,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 patruseos, caslujitas y los caftoritas (quienes eran antepasados de los filisteos).
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Canaán fue el padre Sidón, su primogénito, y de los hititas,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 jebuseos, amorreos, gergeseos,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 heveos, araceos, sineos,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 arvadeos, zemareos y jamatitas.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud y Harán. Los hijos de Harán: Uz, Hul, Guéter, y Mésec.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arfaxad fue el padre de Selá, y Selá el padre de Éber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Éber tuvo dos hijos. Uno se llamaba Peleg, porque en su tiempo la tierra fue dividida; el nombre de su hermano fue Joctán.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Joctán fue el padre de Almodad, Sélef, Jazar Mávet, Yeraj,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Adoram, Uzal, Diclá,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obal, Abimael, Sabá,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Javilá y Jobab. Todos estos fueron hijos de Joctán.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arfaxad, Selá,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Éber, Peleg, Reú,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nacor, Téraj,
Serugi, Nahori, Tera,
27 y Abram (también llamado Abraham).
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Estos fueron sus descendientes: Nebayot, quien fue el hijo primogénito de Ismael, Cedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mismá, Dumá, Masá, Hadad, Temá,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafis y Cedema. Estos fueron los hijos de Ismael.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Los hijos que le nacieron a Cetura, la concubina de Abraham. Ella dio a luz a: Zimrán, Jocsán, Medán, Madián, Isbac y Súah. Los hijos de Jocsán: Sabá y Dedán.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Los hijos de Madián: Efá, Éfer, Janoc, Abidá y Eldá. Todos ellos fueron descendientes de Cetura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abraham fue el padre de Isaac. Los hijos de Isaac fueron Esaú e Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jalán y Coré.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Los hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefo, Gatán y Quenaz; además Amalec por medio de Timná.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Los hijos de Reuel: Najat, Zera, Sama y Mizá.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Los hijos de Seír: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer y Disán.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Los hijos de Lotán: Horí y Homán. La hermana de Lotán era Timná.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Los hijos de Sobal: Alván, Manajat, Ebal, Sefó y Onam. Los hijos de Zibeón: Aja y Aná.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 El hijo de Aná fue Disón. Los hijos de Dishón fueron Hemdán, Esbán, Itrán y Querán.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Los hijos de Ezer: Bilán, Zaván y Acán. Los hijos de Disán: Uz y Arán.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Estos fueron los reyes que reinaron sobre Edom antes de que cualquier rey israelita reinara sobre ellos: Bela hijo de Beor, cuya ciudad se llamaba Dinaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Cuando murió Bela, Jobab hijo de Zera, proveniente de Bosra, asumió el reinado.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Tras la muerte de Jobab, Husam asumió el reinado entonces, y era proveniente de la tierra de los Temanitas.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Cuando murió Husam, Hadad, hijo de Bedad, asumió el reinado. Él fue quien derrotó a Madián en el país de Moab. El nombre de su ciudad era Avit.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Cuando murió Hadad, Samá, de Masreca, asumió el reinado.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Cuando murió Samá, Saúl, proveniente de Rehobot del río asumió el reinado.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Cuando murió Saúl, Baal-Hanán, hijo de Acbor, asumió el reinado.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Cuando Baal-Hanán murió, Hadad reinó en su lugar. El nombre de su ciudad era Pau. El nombre de su esposa era Mehetabel, hija de Matred, nieta de Me-Zahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Entonces murió Hadad. Los jefes de Edom eran: Timná, Alva, Jetet,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 Aholibama, Ela, Pinón,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Quenaz, Temán, Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel, e Iram. Estos eran los jefes de Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Crónicas 1 >