< Oseas 12 >
1 Efraím se apacienta de viento, y corre tras el viento del oriente, todo el día está aumentando las mentiras y los actos de violencia; hace pacto con Asiria, y a Egipto lleva aceite.
Efraimu hujilisha upepo na kufuata upepo wa mashariki. Yeye daima huzidisha uongo na unyanyasaji. Wanafanya agano na Ashuru na huchukua mafuta ya Misri.
2 También contra Judá se querellará Yahvé, y castigará a Jacob conforme a su conducta; según sus obras le retribuirá.
Bwana pia ana mashtaka dhidi ya Yuda na ataadhibu Yakobo kwa yale aliyoyatenda; atamlipa kwa matendo yake.
3 En el seno materno suplantó a su hermano, y en su edad madura luchó con Dios.
Katika tumbo Yakobo akamshika ndugu yake kisigino, na katika ubinadamu wake alijitahidi kwa Mungu.
4 Luchó con el ángel, y prevaleció; lloró y le pidió gracia. En Betel le halló, y allí habló con nosotros.
Alishindana na malaika akashinda. Alilia na kuomba kwa neema yake. Alikutana na Mungu huko Betheli; huko Mungu aliongea naye.
5 Yahvé que es el Dios de los ejércitos; Yahvé es su Nombre.
Huyu ndiye Bwana, Mungu wa majeshi; “Yahweh” ndilo jina lake.
6 “Conviértete a tu Dios; guarda la misericordia y la justicia, y espera siempre en tu Dios”.
Basi tembea kwa Mungu wako. Shika uaminifu na uhuru wa agano, na umsubiri Mungu wako daima.
7 Siendo mercader, que tiene en sus manos balanza falsa, se complace en engañar.
Wafanyabiashara wana mizani ya uongo mikononi mwao; wanapenda kudanganya.
8 Dice Efraím: “Con todo, me he hecho rico, he adquirido riquezas; con todas mis ganancias no se hallará en mí culpa que sea pecado.”
Efraimu akasema, “Kwa hakika mimi ni tajiri sana; Nimepata utajiri kwa nafsi yangu. Katika kazi yangu yote hawataona uovu wowote ndani yangu, chochote ambacho kitakuwa dhambi.”
9 Yo soy Yahvé, tu Dios, desde la tierra de Egipto; Yo haré que habites otra vez en tiendas, como en días de la fiesta.
Mimi ndimi Bwana, Mungu wako, tangu ulipotoka nchi ya Misri. Nitakufanya uishi tena katika hema, kama siku za karamu iliyowekwa.
10 Yo hablé a los profetas, haciéndoles ver muchas visiones; por medio de los profetas me he manifestado en parábolas.
Niliwaambia manabii, na nimewapa maono mengi kwa ajili yenu. Kwa mkono wa manabii nilitoa mifano.
11 Si Galaad es vanidad, también ellos son vanidad. En Gálgala sacrifican toros, y sus altares son como montones de piedras en los surcos del campo.
Ikiwa kuna uovu huko Gileadi, hakika watu hawafai. Gilgali wanachinja ng'ombe; madhabahu zao zitakuwa kama miundo ya jiwe katika miamba ya mashamba.
12 Huyó Jacob al país de Siria, por una mujer Israel se hizo siervo, y por una esposa apacentó (ovejas).
Yakobo akakimbia mpaka nchi ya Aramu; Israeli alifanya kazi ili kupata mke; naye akachunga kundi la kondoo ili kupata mke.
13 Por mano de un profeta Yahvé sacó a Israel de Egipto, y lo salvó por medio de un profeta.
Bwana akawaleta Israeli kutoka Misri kwa kutumia nabii, naye akawatunza kwa nabii.
14 Efraím ha provocado a su Señor con amargos pecados; por lo cual hará caer sobre él la sangre derramada, y le dará la paga por sus ultrajes.
Efraimu amemkasirisha sana Bwana. Basi Bwana wake ataachia damu yake, naye atamrudishia aibu yake.