< Sabuurradii 150 >

1 Rabbiga ammaana. Ilaah ku dhex ammaana meeshiisa quduuska ah, Ku dhex ammaana samada xooggiisa.
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu za ukuu wake.
2 Falimihiisa waaweyn aawadood u ammaana, U ammaana si waafaqsan weynaantiisa sare.
Msifuni yeye kwa matendo yake makuu; msifuni yeye kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
3 Dhawaaqa buunka ku ammaana, Oo shareerad iyo kataarad ku ammaana.
Msifuni kwa mlipuko wa pembe; msifuni kwa kinanda na kinubi.
4 Ku ammaana daf iyo cayaar, Oo ku ammaana alaab xadhko leh oo muusiko ah iyo biibiile.
Msifuni kwa ngoma na kucheza; msifuni kwa vyombo vya nyuzi na filimbi.
5 Suxuunta laysku garaaco oo codka dheer ku ammaana, Ku ammaana suxuunta sanqadha dheer.
Msifuni kwa matoazi yavumayo; msifuni kwa matoazi avumayo sana.
6 Wax kasta oo neef lahuba Rabbiga ha ammaaneen. Rabbiga ammaana.
Kila kilicho na pumzi kimsifu Yahwe. Msifuni Yahwe.

< Sabuurradii 150 >